Magari yote Kaskazini ya Tanzania

Magari yote Kaskazini ya Tanzania

Mchaga masikini kazi kusifia wenzio acheni ushamba nyie,
aliyekuambia mm maskini Nani?
Kilimanjaro ni mkoa wa 2 kwa watu wake kuishi maisha Bora na makazi bora baada ya dar,kwa mujibu wa nbs
Sasa ww mshaija wa kagera unadhan watu wote ni washamba ?
njoo nikupe kazi Sina njaa najituma
ni ukweli usiopingika tangu hata kabla ya Uhuru tupo vizuri maana miundombn muhimu Kama maji, hospital,shule zipo tangu hata hatujapata Uhuru
na hata mwl nyerere alichangiwa nauli na watu kadhaa kwenda un kudai Uhuru mmoja wapo alikuwa mzee aikaeli mbowe aliyekuwa akimiliki mahotel ndan na nje ya tz
ndio maana hadi Sasa matajiri wazawa tunaongoza akianza mzee mengi wa itv
ukija kwenye elimu Sina haja ya kukuelezea unaujua Moto wetu
 
Mchaga masikini kazi kusifia wenzio acheni ushamba nyie,
aliyekuambia mm maskini Nani?
Kilimanjaro ni mkoa wa 2 kwa watu wake kuishi maisha Bora na makazi bora baada ya dar,kwa mujibu wa nbs
Sasa ww mshaija wa kagera unadhan watu wote ni washamba ?
njoo nikupe kazi Sina njaa najituma
ni ukweli usiopingika tangu hata kabla ya Uhuru tupo vizuri maana miundombn muhimu Kama maji, hospital,shule zipo tangu hata hatujapata Uhuru
na hata mwl nyerere alichangiwa nauli na watu kadhaa kwenda un kudai Uhuru mmoja wapo alikuwa mzee aikaeli mbowe aliyekuwa akimiliki mahotel ndan na nje ya tz
ndio maana hadi Sasa matajiri wazawa tunaongoza akianza mzee mengi wa itv
ukija kwenye elimu Sina haja ya kukuelezea unaujua Moto wetu
 
Mchaga masikini kazi kusifia wenzio acheni ushamba nyie,
aliyekuambia mm maskini Nani?
Kilimanjaro ni mkoa wa 2 kwa watu wake kuishi maisha Bora na makazi bora baada ya dar,kwa mujibu wa nbs
Sasa ww mshaija wa kagera unadhan watu wote ni washamba ?
njoo nikupe kazi Sina njaa najituma
ni ukweli usiopingika tangu hata kabla ya Uhuru tupo vizuri maana miundombn muhimu Kama maji, hospital,shule zipo tangu hata hatujapata Uhuru
na hata mwl nyerere alichangiwa nauli na watu kadhaa kwenda un kudai Uhuru mmoja wapo alikuwa mzee aikaeli mbowe aliyekuwa akimiliki mahotel ndan na nje ya tz
ndio maana hadi Sasa matajiri wazawa tunaongoza akianza mzee mengi wa itv
ukija kwenye elimu Sina haja ya kukuelezea unaujua Moto wetu
 
ubahili ni mojawapo ya misingi ya ujasiriamali mkuu ndio maana tukafanikiwa kujenga ma hotel ya kitalii Arusha mwanza nenda kafanye survey migorofa mingi pale ni ya kina Nani,hadi précision air ya mangi Sasa unadhan bila ubahili utafanikiwa?
sisi tangu enz na enz December tunarudi home sweet home hata Kama tupo ulaya
umeambiwa hatuend mapumziko nje ya nch?

Unaongea kwa mihemko sana ..sidhani kwa mwanza na takwimu unazo toa ni za kweli nipe mifano 3 ya hotel
 
Mkuu uturuki ulienda Kwenye ule mkutano wa wadau wa utalii wa malikale?
hapana,nilienda kwenye mapumziko kiukweli uturuki wapo vizuri kwenye utalii,nilitembelea mji wa adanademispor(Adana) kule kuna utalii wa maua Yan maua yanawaingizia héla sana
nilifika jijin Ankara Pia jiji la kibiashara nikaona kiwanda cha kutengeneza matrela ya SERIN
 
Ila kumbuka mwanza na mbeya kuna foleni mwaka mzima bila hata wasukuma na wanyakyusa kurudi kwao toka Dar.
Kuna sababishwa na miundombinu mibovu ya barabara zinahitaji kupanuliwa ni finyu mno
 
hapana,nilienda kwenye mapumziko kiukweli uturuki wapo vizuri kwenye utalii,nilitembelea mji wa adanademispor(Adana) kule kuna utalii wa maua Yan maua yanawaingizia héla sana
nilifika jijin Ankara Pia jiji la kibiashara nikaona kiwanda cha kutengeneza matrela ya SERIN
Makiadi na wewe unaniangusha sasa!
Maelezo haya ni kama ume'gugo'. Unapoenda kutalii au kupumzika sehemu kama hiyo unaachaje kupiga picha kwa mfano!?

Ili kuwakata ngebe wanaokupinga weka japo picha ya trela uliloliona hapo kiwandani.
 
Makiadi na wewe unaniangusha sasa!
Maelezo haya ni kama ume'gugo'. Unapoenda kutalii au kupumzika sehemu kama hiyo unaachaje kupiga picha kwa mfano!?

Ili kuwakata ngebe wanaokupinga weka japo picha ya trela uliloliona hapo kiwandani.
kinachonishinda kwenye jf ni picha tu ninazo nyingi hapa kwenye cm Sasa ku apload ndio mziki nilishazoea WhatsApp unatuma tu fasta Sasa hapa ku apload huwa inachelewa ndio maana naona uvivu
 
Makiadi na wewe unaniangusha sasa!
Maelezo haya ni kama ume'gugo'. Unapoenda kutalii au kupumzika sehemu kama hiyo unaachaje kupiga picha kwa mfano!?

Ili kuwakata ngebe wanaokupinga weka japo picha ya trela uliloliona hapo kiwandani.
kinachonishinda kwenye jf ni picha tu ninazo nyingi hapa kwenye cm Sasa ku apload ndio mziki nilishazoea WhatsApp unatuma tu fasta Sasa hapa ku apload huwa inachelewa ndio maana naona uvivu
 
Yaani mwaka mzima wa kuhenya wenye siku 365,,,inatokea siku mbili tatu tu za mwisho wa mwaka za kurudi makwenu vijijini kwenye Unga kilo tsh 300, basi mnaanza kujisifu kwamba nanyi ni big spenders!???

Wanaoenda vacations nje ya nchi na familia zao na kukaa mwezi mzima nao wajiitaje!???

Acheni uchuro bana, nchi nzima mnajulikana kwa ubahili wenu,,,, hizo spending zitatoka wapi!??
Acha ukichaa wa kusujudu nchi za wenzako nenda ulikozaliwa siyo kusubiri misiba ndiyo uende.
 
Back
Top Bottom