Magari yote Kaskazini ya Tanzania

Magari yote Kaskazini ya Tanzania

Yaani mwaka mzima wa kuhenya wenye siku 365,,,inatokea siku mbili tatu tu za mwisho wa mwaka za kurudi makwenu vijijini kwenye Unga kilo tsh 300, basi mnaanza kujisifu kwamba nanyi ni big spenders!???

Wanaoenda vacations nje ya nchi na familia zao na kukaa mwezi mzima nao wajiitaje!???

Acheni uchuro bana, nchi nzima mnajulikana kwa ubahili wenu,,,, hizo spending zitatoka wapi!??

ubahili ni mojawapo ya misingi ya ujasiriamali mkuu ndio maana tukafanikiwa kujenga ma hotel ya kitalii Arusha mwanza nenda kafanye survey migorofa mingi pale ni ya kina Nani,hadi précision air ya mangi Sasa unadhan bila ubahili utafanikiwa?
sisi tangu enz na enz December tunarudi home sweet home hata Kama tupo ulaya
umeambiwa hatuend mapumziko nje ya nch?
 
Mkuu uturuki ulienda Kwenye ule mkutano wa wadau wa utalii wa malikale?
 
Kwanza uturuki nchi ya kishamba sana
wewe ndio mshamba wa mwisho uturuki nchi ya 15 kwa uchumi makubwa dunian unasema ya kishamba? shirika lao la ndege Turkish airlines ni la 4 kwa ubora dunian, uwanja wao wa ndege Atatürk international airport ni wa 3 dunian kupokea ndege nyingi baada ya abu Dhabi na Amsterdam
hebu acha ushamba wako
 
Kwanza uturuki nchi ya kishamba sana
wewe ndio mshamba wa mwisho uturuki nchi ya 15 kwa uchumi makubwa dunian unasema ya kishamba? shirika lao la ndege Turkish airlines ni la 4 kwa ubora dunian, uwanja wao wa ndege Atatürk international airport ni wa 3 dunian kupokea ndege nyingi baada ya abu Dhabi na Amsterdam
hebu acha ushamba wako
 
Habari bila picha/video clip sawa na takataka tu
 
kusema ukweli nilipita tarehe 22 kutoka dar kuja arusha moja kwa moja sababu wachaga wengi waishio arusha tunarudi nyumbani 24 hadi 25 asubuhi ....kusema ukweli sikutegemea kama this year itakuwa na mwitikio mkubwa hivi mambo ni as usual naomba niwapongeze wachaga popote walipo..... unity is power .....lwarokwisha wose
 
IMG-20181222-WA0001.jpeg
 
we kibibi Cha kizaramo FaizaFoxy watu wa kaskazn Wana mkwanja tangu hata kabla ya Uhuru ndio maana wamewanunua hapo dar na kuwasukumia porini
saa HIV ukienda Kilimanjaro utaona ma V8 na ma harrier yalivyopamba huko migombn mrabaki na wivu sisi tunapeta tu
 
we kibibi Cha kizaramo FaizaFoxy watu wa kaskazn Wana mkwanja tangu hata kabla ya Uhuru ndio maana wamewanunua hapo dar na kuwasukumia porini
saa HIV ukienda Kilimanjaro utaona ma V8 na ma harrier yalivyopamba huko migombn mrabaki na wivu sisi tunapeta tu
Mchaga masikini kazi kusifia wenzio acheni ushamba nyie,
 
Huu ni ukweli usiopingika, bora kuwa na private cars maana hata stendi ya Moshi jana palikua hapafai daladala ikija inashusha na kupakiza hapo hapo haswa za kwenda marangu na holili abiria walikua wengi mno
 
Dawa yenu iko jikoni subirini mtangaziwe kodi ya Wachaga kurudi kwao kila CHRISTMAS maana mnajidai mna miticash sana nyie. Mnamnyima jamaa usingizi.
 
Back
Top Bottom