Bubu Ataka Kusema Marafiki zangu watatu (wamenunua magari mapya hivi karibuni) walifanya utafiti wa magari haya kabla ya kuamua ama wanunue ya kutumia petroli au ya umeme na wote waliamua kununua ya petroli kwa kudai kwamba walikosa info zilizojitosheleza hivyo wakaamua kuyakwepa. Kama nilivyosema yanaingia taratibu ukilinganisha na ilivyotegemewa na hii bei ya petroli ilivyo juu labda wateja wengi wanaweza kuamua kuyanunua kwa wingi. Kikubwa ni bei ambayo unakuta unalipa hata $5,000 au zaidi kwa gari la umeme.
Ni pole pole hata huko kwetu yatafika na bei itashuka na Wabongo navyowajuwa si mda watakuwa nayo.
http://www.chevrolet.com/volt/?seo=...ase&utm_content=Search&utm_term=electric_cars
Ni pole pole hata huko kwetu yatafika na bei itashuka na Wabongo navyowajuwa si mda watakuwa nayo.
http://www.chevrolet.com/volt/?seo=...ase&utm_content=Search&utm_term=electric_cars