Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 20,490
- 41,158
Kampuni za magari kutoka China zinafanya vizuri kwenye soko la magari SA na imepelekea kampuni ya Cherry kununua kiwanda cha Nissan kilichopo Pretoria kuanzia mwakani kitakua kinazalisha magari ya kutoka China na si Nissan tena.
Pamoja na kuwekewa kodi kubwa kwa gari zinazotoka China ila wananchi wamezielewa sana imepelekea kuletwa na gari nyingi za kuchaji zinazotumia umeme kwa umbali mrefu kama hizi..
Bei ya hizi gari mpya zinaanzia rand 400,000 mpaka rand 500,000 za 2025 model.
Pamoja na kuwekewa kodi kubwa kwa gari zinazotoka China ila wananchi wamezielewa sana imepelekea kuletwa na gari nyingi za kuchaji zinazotumia umeme kwa umbali mrefu kama hizi..
Bei ya hizi gari mpya zinaanzia rand 400,000 mpaka rand 500,000 za 2025 model.