saidow masaka
Member
- Aug 14, 2016
- 31
- 48
- Thread starter
- #21
Gharama za kufunga hiyo mitungi miwili na mfumo ni 1.8m, ila gharama za mfumo na mtungi moja ni 1.5m.Inaenda km ngapi? Gharama za kufunga zikoje?
Gharama za kufunga hiyo mitungi miwili na mfumo ni 1.8m, ila gharama za mfumo na mtungi moja ni 1.5m.Inaenda km ngapi? Gharama za kufunga zikoje?
Kwahyo kwavile nyinyi hamjapata taarifa hiyo ndio sababu ya kukanusha maelezo yangu.?. Ajali imetokea barabara ya njombe Songea pana Miezi Miwili Sasa Imepita toka Hiyo Ajali Itokee.Hiyo ajali haijatokea na haipo reported kwetu. Na me ni mkaguzi wa magari ya gesi
Kaka achana na gharama sijui 1.3/1.4 za mitaani , ambao watu wanafunga kwa mitungi iliyotumika na kuipaka rangi ionekane mipya, na kuweka sticker zao ..sisi tunafunga brand new kwa 1.5mInaenda km ngapi? Gharama za kufunga zikoje?
Hilo linaeleweka mkuu, ila ajabu nipale mtu anapokanusha kwamba hiyo ajali haijatokea eti kwa vile yeye hajapata taarifa.Nadhani hata magari yasiyotumia gesi kila siku yanaua na kuteketea
Kaka me hii sina taarifa nayo, na me ni mkaguzi, na taarifa zote za gesi tunazoKwahyo kwavile nyinyi hamjapata taarifa hiyo ndio sababu ya kukanusha maelezo yangu.?. Ajali imetokea barabara ya njombe Songea pana Miezi Miwili Sasa Imepita toka Hiyo Ajali Itokee.
Changamoto za kufunga used ni zipi?Kaka achana na gharama sijui 1.3/1.4 za mitaani , ambao watu wanafunga kwa mitungi iliyotumika na kuipaka rangi ionekane mipya, na kuweka sticker zao ..sisi tunafunga brand new kwa 1.5m
Basi usikanushe wewe omba taarifa ili uzifanyie kazi, dunia ni kubwa huwezi kupata taarifa zote hata siku moja.Kaka me hii sina taarifa nayo, na me ni mkaguzi, na taarifa zote za gesi tunazoView attachment 1781525
Mtungi una expire date, wanakuwa wanaificha, kwa kupaka rangi, na pia mtungi uliochoka hautakiwi kutumika. Wao wanabandika sticker kuonyesha muda wao wa ku expire world safety hairuhusu hiyo..Changamoto za kufunga used ni zipi?
Mtungi unakuwa na pamanent lable.. haitoki , ila wao wanapaka rangi kuficha label na kupaka rangi. Na kuweka label yao.Changamoto za kufunga used ni zipi?
Sawa kaka ntafatilia hiki kitu..Basi usikanushe wewe omba taarifa ili uzifanyie kazi, dunia ni kubwa huwezi kupata taarifa zote hata siku moja.
Shida ni charging infrastructure. Unless kma utegemee kucharge nyumbani kwako tu ambayo itakua slowLeaf hata bongo si unaagiza tu
Nimeicheki ya mwaka 2011.. Milion 10.. Kuchek tra calculator, hakuna option ya umeme fuel type ni diesel kwa petrol tu.. Nimeweka petrol, nimechagua Cc 1001-1500.. Wakaniambia milioni 8 kasoro ndio za kwao.Sisi tunasubiri electric cars. Kenya tayari wana Nissan Leaf bado kwetu

Sawa mfano yenye cc 4200 inaweza kutumia gesi kiasi gani kwa mbali gani, cc 3000 na cc 1500.Hapana it depends na cc za engine
We mzee hakunaga usalama 100% sema 99% basiHapana hiki si kitu kipya duniani labda kwa hapa Tz.. Na usalama ni asilimia 100

Swali zuri...Inaenda km ngapi? Gharama za kufunga zikoje?
Unaichaji tu overnight masaa 8 inakuwa ishajaaShida ni charging infrastructure. Unless kma utegemee kucharge nyumbani kwako tu ambayo itakua slow