Ndio ni ya chadema.
Kunapicha nliziona kwenye fb na ni picha ya magari ya cdm yenye chata la m4c ni kweli magari hayo ni ya chadema.
Kunapicha nliziona kwenye fb na ni picha ya magari ya cdm yenye chata la m4c ni kweli magari hayo ni ya chadema.
Kunapicha nliziona kwenye fb na ni picha ya magari ya cdm yenye chata la m4c ni kweli magari hayo ni ya chadema.
Hapa GreenCity...nadhani anazungumzia Toyota Hilux double cabin zenye nembo kubwa ubavuni ya M4C...nimeshayaona kama matatu hivi hapa kwetu Arusha....maandalizi ya kujenga chama kwa ajili ya kampeni 2015
UnaBeep sio?Kunapicha nliziona kwenye fb na ni picha ya magari ya cdm yenye chata la m4c ni kweli magari hayo ni ya chadema.
Unazungumzia haya....??Kunapicha nliziona kwenye fb na ni picha ya magari ya cdm yenye chata la m4c ni kweli magari hayo ni ya chadema.
Unazungumzia haya....??
Ndiyo tunayo..ya zamani tumewapa CCM!!wahangaike nayo....kwani wanajigamba kuwa wao ni wakongwe na sisi tumewapa magari makongwe!!kama walivyo wakongwe!