TANZIA Magambo Makongoro Amefariki Dunia

Marehemu apumzike kwa amani...
Lakini huyu makongoro alikuwa mtoto wa mjini haswaa!!! Linda bezdui jina lake analijua mwenyewe.,.....
Alijua anatoka na mtoto kigogo iseee kumbe kaangua pua na uzuri wote ule
Alipata Heshima zote Kama Mtoto wa Nyerere lakini. Alisomeshwa USA na alikuwa afanye Kazi World Bank ila sikumbuki nini kilimsibu.
Mimi nilimuona miaka ya 90 mwanzonj, alikuwa ni Mbabe sana hapo Interchick na BANDAG.
 
Kwa hiyo alikua anadanga!?..hebu nimuone alivyo mzuri!!
Humjui Linda??? Fanya ku search habari
zake!!!
Alikuwa mdada wa mjini enzi hizo na alikuwa akimiliki salon ambayo ilikuwa hot pia wasanii hasa wa nje walitumia salon yake kufanya make up! Kwa sasa Yuko marekani akifanya tailoring.
 
Alipata Heshima zote Kama Mtoto wa Nyerere lakini. Alisomeshwa USA na alikuwa afanye Kazi World Bank ila sikumbuki nini kilimsibu.
Mimi nilimuona miaka ya 90 mwanzonj, alikuwa ni Mbabe sana hapo Interchick na BANDAG.
Hilo nalijua,,,
though mimi si wa umri huo nakumbuka walikuwa wakija na makongoro mtoto wa Nyerere nyumbani kwetu kwa mama yangu mdogo ambae alikuwa anatoka na makongoro halisi na Linda alikuwa rafiki yake .
Maisha yanaenda Kasi hao wazee nimekula sana biscuits zao.
 
Marehemu apumzike kwa amani...
Lakini huyu makongoro alikuwa mtoto wa mjini haswaa!!! Linda bezdui jina lake analijua mwenyewe.,.....
Alijua anatoka na mtoto kigogo iseee kumbe kaangua pua na uzuri wote ule
Wewe hujielewi, aliangukia pua vipi wakati mtu mambo safi ana nyumba Bahari Beach, anaishi Mikocheni,, anakwenda mamtoni anavyotaka, anafanyakazi na wazungu unadhani hata watoto wa kuwazaa Nyerere mwenyewe wanamfikia huyu marehemu?

Sasa angetoka na mtoto wa Nyerere Andrew Nyerere si angeambulia vitabu tu?

Ujinga wa mademu wa Kibongo ni kubabaika na majina, mbona huyo mtoto wake Linda hakumpa ubini wa marehemu?
 
Hata sisi tunafiwa pia.

Na hatuleti misiba mitandaoni.

Matatizo yenu na watu wenu wa karibu, msifikiri matatozo hayo ninya kila mtu.

Mnapopata misiba, siyo kwamba inamhusu kila mtu.
Kuna wengine wanamjua na kupitia uzi huu wamepata taarifa za msiba huo, siyo vibaya kutoa taarifa. Kama wewe humjui usingeangaika kuufungua uzi wenyewe. Siyo taarifa zote zinawahusu watu wote.
 
Aisee!! Mie sijielewi kweli......
Mabishano hayana nafasi kwangu kuanzia kwenye maisha halisi mpaka mitandaoni.
Pumua kidogo kapate lunch.
 
siku nyingine muwe mnatufahamisha wakiwa hai cyo tu wakiwa wafu
 
Aisee!! Mie sijielewi kweli......
Mabishano hayana nafasi kwangu kuanzia kwenye maisha halisi mpaka mitandaoni.
Pumua kidogo kapate lunch.
Lunch gani? Unajuwa niko wapi? Kwanza kwa saa za Tanzania huu siyo muda wa lunch hata restaurant zinafungwa wanaandaa dinner.
 
Reactions: Cyb
Humjui Linda??? Fanya ku search habari
zake!!!
Alikuwa mdada wa mjini enzi hizo na alikuwa akimiliki salon ambayo ilikuwa hot pia wasanii hasa wa nje walitumia salon yake kufanya make up! Kwa sasa Yuko marekani akifanya tailoring.
Simjui,mi mjini mshamba,nilikuja 2000
 
Huko mara mbona uislam upo kitambo tu,angalia machifu walivyokua wakivaa,wakamuathiri hadi mkono kuvaa tunga, pitia kitabu cha Thomas molony,nyerere the early days
Zanaki hakuna Uislamu, labda huko Ikizu kwa kina Magambo Makongoro.

Ile kofia ya Nimrod Mkono ni tarabushi siyo vazi la kiislamu.

Vazi la heshima la Wahaya ni kanzu nyeupe na koti, kuna vitu tunachanganya.
 
Zanaki hakuna Uislamu, labda huko Ikizu kwa kina Magambo Makongoro.

Ile kofia ya Nimrod Mkono ni tarabushi siyo vazi la kiislamu.

Vazi la heshima la Wahaya ni kanzu nyeupe na koti, kuna vitu tunachanganya.
Ni mavazi ya waislam,na buganda empire ilikua dola ya kiislam mahakama zikitumia sharia,we unadhani mavazi ya waarabu yatafika tu Mara,kagera bila dini ya mwarabu!?
 
Reactions: Cyb
Kumbe wewe ulimfahamu kwa ukaribu zaidi hadi kula Biscuits. Mimi nilimfahamu Kama Mkurugenzi. Alikuwa anatisha na Mbabe kwelikweli. Tulimuogopa mno.
Ila sema alikuwa hata hana muda na Sisi watu wa Chini na hivyo hata hakunifahamu. Ila walifahamiana na ndugu yangu kwani ilibidi amuone ili baadhi ya mipango yake yafanikiwe.

Nilivyomfahamu na nikiona hiyo Picha nabaki kusema Ujana ni Maji ya Moto.
Ujana wote kwisha....

RIP Mkurugenzi.
 
inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

Nimesoma mama mtoto wake akimuombolezea. Mwenyeze Mungu awape subra familia na wote walioguswa na msiba huu


Ni jambo jema sana kukumbukwa kwa wema haswa na mzazi mwenza
 
Ningeweza kuandika lakini kwa heshima a mamdogo nikae kimya..
Kwa u babe ilikuwa ni zaidi ya hapo na Kuna baadhi ya viongozi walisoma namba ile kauli unajua mi nani haijaanza leo.
Ni kweli Kuna vitu nimefaidi zaidi ya biscuits nadhani unajua kama watoto wa viongozi huwa wana package zao.
Miaka kadhaa alikosa ile hadhi ya vip sijui kilitokea nini.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…