kwa uchunguzi wangu mdogo wa kipindi cha karibuni kumekuwa na hoja nyingi na topics nyingi za kuchafua chadema, lakini nyingi kama si karibu zote azina uzito stahiki na mashiko kwa wananchi na wadau kwa ujumla. Mfano wa oja hizo ni cdm kuingiza silaha 2015, slaa katumia 300m pamoja na mbowe kujenga, kukarabati nk,Uongozi cdm taifa ujiuzulu wakishidwa arumeru,na nyingi sana ambazo nikiandika nitakuwa napoteza wino pamoja na kumiza vidole. Angalizo langu ni kwamba hata kama mnalipwa kwa kuchafua cdm jalibuni kufikili vizuri na kuweka utaifa mbele na matumbo yenu nyuma na kuandika hoja zenye mashiko ambazo zitaleta changamoto kwa maendeleo ya taifa letu komavu lililo kubikwa na umaskini na maisha duni.:hand: