magamba wamevamia jukwaa la siasa kwa hoja dhaifu na za kitoto

wakwetu 2

Member
Mar 23, 2011
96
4
kwa uchunguzi wangu mdogo wa kipindi cha karibuni kumekuwa na hoja nyingi na topics nyingi za kuchafua chadema, lakini nyingi kama si karibu zote azina uzito stahiki na mashiko kwa wananchi na wadau kwa ujumla. Mfano wa oja hizo ni cdm kuingiza silaha 2015, slaa katumia 300m pamoja na mbowe kujenga, kukarabati nk,Uongozi cdm taifa ujiuzulu wakishidwa arumeru,na nyingi sana ambazo nikiandika nitakuwa napoteza wino pamoja na kumiza vidole. Angalizo langu ni kwamba hata kama mnalipwa kwa kuchafua cdm jalibuni kufikili vizuri na kuweka utaifa mbele na matumbo yenu nyuma na kuandika hoja zenye mashiko ambazo zitaleta changamoto kwa maendeleo ya taifa letu komavu lililo kubikwa na umaskini na maisha duni.:hand:
 
kwa uchunguzi wangu mdogo wa kipindi cha karibuni kumekuwa na hoja nyingi na topics nyingi za kuchafua chadema, lakini nyingi kama si karibu zote azina uzito stahiki na mashiko kwa wananchi na wadau kwa ujumla. Mfano wa oja hizo ni cdm kuingiza silaha 2015, slaa katumia 300m pamoja na mbowe kujenga, kukarabati nk,Uongozi cdm taifa ujiuzulu wakishidwa arumeru,na nyingi sana ambazo nikiandika nitakuwa napoteza wino pamoja na kumiza vidole. Angalizo langu ni kwamba hata kama mnalipwa kwa kuchafua cdm jalibuni kufikili vizuri na kuweka utaifa mbele na matumbo yenu nyuma na kuandika hoja zenye mashiko ambazo zitaleta changamoto kwa maendeleo ya taifa letu komavu lililo kubikwa na umaskini na maisha duni.:hand:

Hebu zungumzia na upande wa pili, unaweza kuziorodhesha threads zinazoizungumzia serikali na chama tawala? Harafu wa kwetu pamoja na kwamba wewe unaweza kuwa nshomile ambao siku zote hawana "h" jitahidi utuandikie kiswahili safi.
 
kwa uchunguzi wangu mdogo wa kipindi cha karibuni kumekuwa na hoja nyingi na topics nyingi za kuchafua chadema, lakini nyingi kama si karibu zote azina uzito stahiki na mashiko kwa wananchi na wadau kwa ujumla. Mfano wa oja hizo ni cdm kuingiza silaha 2015, slaa katumia 300m pamoja na mbowe kujenga, kukarabati nk,Uongozi cdm taifa ujiuzulu wakishidwa arumeru,na nyingi sana ambazo nikiandika nitakuwa napoteza wino pamoja na kumiza vidole. Angalizo langu ni kwamba hata kama mnalipwa kwa kuchafua cdm jalibuni kufikili vizuri na kuweka utaifa mbele na matumbo yenu nyuma na kuandika hoja zenye mashiko ambazo zitaleta changamoto kwa maendeleo ya taifa letu komavu lililo kubikwa na umaskini na maisha duni.:hand:

Jibuni hoja sio kuja kujitetea humu jamvini !
 
kwani hiki sio kati ya vile vyama walivyosema vya msimu?. mbona kinawapa sana shida, au msimu wake haujafika?. na tutakutana tena msimu mwingine 2015, ndo mwisho wenu magamba, kwisha habari yenu
 
kwa uchunguzi wangu mdogo wa kipindi cha karibuni kumekuwa na hoja nyingi na topics nyingi za kuchafua chadema, lakini nyingi kama si karibu zote azina uzito stahiki na mashiko kwa wananchi na wadau kwa ujumla. Mfano wa oja hizo ni cdm kuingiza silaha 2015, slaa katumia 300m pamoja na mbowe kujenga, kukarabati nk,Uongozi cdm taifa ujiuzulu wakishidwa arumeru,na nyingi sana ambazo nikiandika nitakuwa napoteza wino pamoja na kumiza vidole. Angalizo langu ni kwamba hata kama mnalipwa kwa kuchafua cdm jalibuni kufikili vizuri na kuweka utaifa mbele na matumbo yenu nyuma na kuandika hoja zenye mashiko ambazo zitaleta changamoto kwa maendeleo ya taifa letu komavu lililo kubikwa na umaskini na maisha duni.:hand:

Jee, chadema inalipia walinzi wa kanisa analosali Josephine au la? Slaa anasema ndio, wewe unasemaje?
 
Back
Top Bottom