Vodacom na kujihusisha na siasa za Tanzania, ndio anguko lake la moja kwa moja?

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
Vodacom ilishinikiza kupunguzwa kwa timu ligi kuu bara kutoka 20 mpaka 16 halafu leo wanakimbia kudhamini ligi kuu bara.

Kama walikuwa hawana uwezo kwanini walilazimisha timu zipunguzwe kutoka 20 na kuja 16?

Leo wanaikimbia ligi baada ya kuona haibu ya udhamini wa Azzam media ya billion 223.

Vodacom wameshindwa kufahamu kwamba tatizo sio Covid au usajili mpya wa line kwa kutumia mfumo wa alama za vidole Bali ni wa kuendelea kujiusisha na siasa uchwara za ccm miaka nenda miaka rudi.

Leo vodacom wanapata hasara ya billion 30, Mimi siwezi kushtuka hata kidogo na hasara huenda ikaongezeka miaka ijayo sababu ni kampuni ambayo imekuwa ikiusishwa na CCM kwa muda mrefu.

Namba zake za simu uwa zinatumika na wateja wake hawalindwi kama ilivyokuwa kwa lile tukio la Ben saanane kutekwa huku akitumia line ya vodacom na alikuwa akiwasiliana na mtu mwenye line ya vodacom.

Sababu walizozitoa nyingi hazina mashiko kwamba eti kodi kubwa huu ni uongo na ni kutaka kuichafua serikali kwanini Tigo na airtel wamepata faida?

Kwanini NMB na CRDB wamepata faida?

Hoja yangu ni nini? Kuanguka kwa vodacom ni matokeo ya kujiusisha na siasa za ccm na kutumika kuilinda ccm badala ya wateja wake.

Watu wameisusi kwa sababu ni kampuni inayotoza gharama kubwa za mawasiliano kuliko makampuni yote.

Ukweli mchungu vodacom kama kampuni ya mawasiliano wamejisahau sana na kuwadharau wateja wake na kutokuwa na ubunifu hivyo watu wengi wanaacha kuitumia na kukimbilia mitandao mingine.

Nauliza tu swali ilikuwaje vodacom arusha wakaenda makamani kutoa ushahidi huu ya mteja wao?

Ukweli unabaki pale pale kwamba vodacom kama kampuni ya simu walitoka kwenye misingi yao ya kuanzishwa na kuanza kuingia kwenye siasa sasa watanzania wameisusia

Ukweli tulio wengi tunazo line za vodacom lakini hatuweki tena salio.

Naomba liwe fundisho kwa makampuni mengine na watu wote wanaohitaji watanzania muda Fulani wawasapoti katika kazi zao waache kujiusisha na siasa za ccm au vyama vingine wajikite kutetea haki na kulinda maslahi ya watanzania.

Bado wana muda wa kurudi kwenye misingi na kusikiliza wateja na kuweka huduma kwa kujali kila kipato cha mtanzania na sio kuwa mtandao wa ubaguzi na kufanya kazi na matajiri.
 
Ndugu hakuna mtu asiyependa kutetea chake, wewe unaongea tu kwasababu sio muwekezaji! Kwenye kutoa ushahidi ndugu makampuni ya simu hayana jinsi zaidi ya kushirikiana na serikali hata kama walikubaliana na mteja kulinda data zake na nadhani kuna sheria inabana mitandao ya simu kushiriki kutoa taarifa za wateja wanaoshukiwa kwa hiyo ni kitu ambacho hakikwepeki! Kwangu mimi voda ndio mtandao bora zaidi hapa Tanzania
 
Sasa naanza kuamini yote yaliisha pale MSALABANI(chato) Asilimia kubwa ya waliotekwa,kunyanyaswa na hata kupotezwa zile enzi za "Endogarn" walikuwa wateja wa hili wekezaji jizi!!! Acha hili kampuni life!
True ni kampuni ya kihuni sana, imagine manager wa voda anaenda mahakamani kutoa ushahidi na kumsagia kunguni mteja
 
Nlitaka tu kumpa taarifa mtoa mada kuwa hasara ya vodacom haitokani na mambo ya kisiasa ya kujihusisha na CCM so lets stop speculating things.

1. Vodacom is still the largest mobile service provider by subsribers mpaka dk hii tunavyoongea na sioni that number ikishuka ktk miaka 3 ijayo as amekuwa akiongoza tangu ameingia kwenye market.

2. Hasara inayopata vodacom imeikumba mitandao yote, na kila mtandao umekuwa na namna yake ya ku react to that loss. Tigo ame exit the market kwa kuuza kampuni, airtel ameuza minara yake ku balance vitabu vyake.

3. Hasara kwa mitandao ya simu kunatokana na kushuka kwa matumizi ya voice and sms na kuongezeka kwa matumizi ya data while bei ya data ikiwa chini, watu now wanatuma sms na kupiga simu kwa whatsapp or telegram and the likes and has nothing to do with mambo ya kisiasa. Huko vijijini watu wanajua vodacom hizi habari za sijui wanashirikiana na CCM mnajua wa mjini na mostly watu wa mitandao ya kijamii.

4. Kulinganisha faida za mabank na kampuni za simu si sahihi, hawa wapo kwenye market tofauti, you cant compare an apple to an orange, ukitaka kumlinganisha vodacom mlinganishe na othet players ktk industry yake.

5. Ni kweli Azam kachukua udhamini wa ligi ila je mnajua kuwa bei za ving'amuzi vya azam imepanda?

6. Mjitahidi kutafuta taarifa sahihi kabla ya kuanza kutoka mapovu..

JF is a home of Great Thinkers lets keep it that way.
 
Nlitaka tu kumpa taarifa mtoa mada kua hasara ya vodacom haitokani na mambo ya kisiasa ya kujihusisha na ccm so lets stop speculating things.

1. Vodacom is still the largest mobile service provider by subsribers mpaka dk hii tunavyoongea na sioni that number ikishuka ktk miaka 3 ijayo as amekua akiongoza tangu ameingia kwenye market.

2. Hasara inayopata vodacom imeikumba mitandao yote, na kila mtandao umekua na namna yake ya ku react to that loss. Tigo ame exit the market kwa kuuza kampuni, airtel ameuza minara yake ku balance vitabu vyake.

3. Hasara kwa mitandao ya simu kunatokana na kushuka kwa matumizi ya voice and sms na kuongezeka kwa matumizi ya data while bei ya data ikiwa chini, watu now wanatuma sms na kupiga simu wa whatsapp or telegram and the likes and has nothing to do with mambo ya kisiasa.huko vijijini watu wanajua vodacom hizi habari za sijui wanashirikiana na ccm mnajua wa mjini na mostly watu wa mitandao ya kijamii.

4. Kulinganisha faida za mabank na kampuni za simu si sahihi, hawa wapo kwenye market tofauti, you cant compare an apple to an orange, ukitaka kumlinganisha vodacom mlinganishe na othet players ktk industry yake.

5. Ni kweli Azam kachukua udhamini wa ligi ila je mnajua kua bei za ving'amuzi vya azam imepanda?

6. Mjitahidi kutafta taarifa sahihi kabla ya kuanza kutoka mapovu..
JF is a home of Great Thinkers lets keep it that way.
Airtel hatujafilisika tunaongeza ufanisi Kidigitali kama Chadema....
 
Nlitaka tu kumpa taarifa mtoa mada kua hasara ya vodacom haitokani na mambo ya kisiasa ya kujihusisha na ccm so lets stop speculating things.

1. Vodacom is still the largest mobile service provider by subsribers mpaka dk hii tunavyoongea na sioni that number ikishuka ktk miaka 3 ijayo as amekua akiongoza tangu ameingia kwenye market.

2. Hasara inayopata vodacom imeikumba mitandao yote, na kila mtandao umekua na namna yake ya ku react to that loss. Tigo ame exit the market kwa kuuza kampuni, airtel ameuza minara yake ku balance vitabu vyake.

3. Hasara kwa mitandao ya simu kunatokana na kushuka kwa matumizi ya voice and sms na kuongezeka kwa matumizi ya data while bei ya data ikiwa chini, watu now wanatuma sms na kupiga simu wa whatsapp or telegram and the likes and has nothing to do with mambo ya kisiasa.huko vijijini watu wanajua vodacom hizi habari za sijui wanashirikiana na ccm mnajua wa mjini na mostly watu wa mitandao ya kijamii.

4. Kulinganisha faida za mabank na kampuni za simu si sahihi, hawa wapo kwenye market tofauti, you cant compare an apple to an orange, ukitaka kumlinganisha vodacom mlinganishe na othet players ktk industry yake.

5. Ni kweli Azam kachukua udhamini wa ligi ila je mnajua kua bei za ving'amuzi vya azam imepanda?

6. Mjitahidi kutafta taarifa sahihi kabla ya kuanza kutoka mapovu..
JF is a home of Great Thinkers lets keep it that way.
Ungeandika kwa sentensi moja tu hizo porojo zako. Tatizo ni Serikali ya kifisadi ilisababisha maisha magumu ndio hayo yote uliyoandika yalikoanzia. Purely political course.
 
Voda kwa vifurushi vya bei juu hawajambo ni liwahama kabisa wanabahati kampuni niliokua nafanya ilikua inaweka credit voda nikajikuta naitumia kwa lazima.
Wanapandisha bei wakidhani ndio watapata mapato mengi. Ukumbuke wabia wa vodacom 80% ni vigogo wa CCM. Moja wa bodi ya wakurugenzi ni Jaji Mihayo mvurugaji wa mchakato wa uchaguzi 2020
 
Nlitaka tu kumpa taarifa mtoa mada kua hasara ya vodacom haitokani na mambo ya kisiasa ya kujihusisha na ccm so lets stop speculating things.

1. Vodacom is still the largest mobile service provider by subsribers mpaka dk hii tunavyoongea na sioni that number ikishuka ktk miaka 3 ijayo as amekua akiongoza tangu ameingia kwenye market.

2. Hasara inayopata vodacom imeikumba mitandao yote, na kila mtandao umekua na namna yake ya ku react to that loss. Tigo ame exit the market kwa kuuza kampuni, airtel ameuza minara yake ku balance vitabu vyake.

3. Hasara kwa mitandao ya simu kunatokana na kushuka kwa matumizi ya voice and sms na kuongezeka kwa matumizi ya data while bei ya data ikiwa chini, watu now wanatuma sms na kupiga simu wa whatsapp or telegram and the likes and has nothing to do with mambo ya kisiasa.huko vijijini watu wanajua vodacom hizi habari za sijui wanashirikiana na ccm mnajua wa mjini na mostly watu wa mitandao ya kijamii.

4. Kulinganisha faida za mabank na kampuni za simu si sahihi, hawa wapo kwenye market tofauti, you cant compare an apple to an orange, ukitaka kumlinganisha vodacom mlinganishe na othet players ktk industry yake.

5. Ni kweli Azam kachukua udhamini wa ligi ila je mnajua kua bei za ving'amuzi vya azam imepanda?

6. Mjitahidi kutafta taarifa sahihi kabla ya kuanza kutoka mapovu..
JF is a home of Great Thinkers lets keep it that way.
Thanks, well spoken
 
Back
Top Bottom