johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
IGP Sirro amewataka wanañchi wa Mtwara kutulia wakati vyombo vya ulinzi vikidhibiti usalama na kuwashughulikia mabedui walioua wananchi wenzetu.
Kamanda Sirro amesema damu ya wananchi waliouawa haitapoteà bure jeshi la polisi litawatendea haki wahanga hao.
IGP amesema bila kumung'unya maneno kwamba wahalifu hao wanadai kutaka kupandisha dola la kiislamu lakini anawashangaa kwa kuwaua waislamu wenzao.
Kamanda Sirro amewahakikishia wananchi ulinzi umeimarishwa kwa kushirikisha jeshi la wananchi ( JWTZ) na jeshi la Polisi.
Source ITV habari!
Kamanda Sirro amesema damu ya wananchi waliouawa haitapoteà bure jeshi la polisi litawatendea haki wahanga hao.
IGP amesema bila kumung'unya maneno kwamba wahalifu hao wanadai kutaka kupandisha dola la kiislamu lakini anawashangaa kwa kuwaua waislamu wenzao.
Kamanda Sirro amewahakikishia wananchi ulinzi umeimarishwa kwa kushirikisha jeshi la wananchi ( JWTZ) na jeshi la Polisi.
Source ITV habari!