Mafwele yuko wapi?

Mafwele yuko wapi?

Tokea awekewe vikwazo na Marekani, huyu aitwaye Mafwele sijamsikia wala kumwona tena.

Hivi yuko wapi huyu kiumbe?

Ila hawa watu hawana kabisa busara.

Miaka 10 ijayo huyu Mafwele hatokuwa na hicho cheo alichonacho.

Ataishi wapi huyu takataka ukizingatia yote aliyoyafanya?

Natamani sana nikutane naye uraiani halafu tuone kama huo ukatili wake utafanya kazi kama akiwa hajazungukwa na hao sungusungu wake wenye magobole.

Mafwele wewe ni fala mseenge tu.

Fight me one on one if you’re that tough. You are a bytch.
Labda nchi ikikombolewa, vinginevyo kwa utawala huu wa mashetni ataweza kuwa balozi, mkuu wa mkoa au ulaji mwingine
 
Sijui ataishi wapi baada ya hiyo kazi ya upolisi.

Mimi binafsi sitokuwa na shida yoyote ile kumuua huyo mbwa.
Hutahitaji kumuua wewe..

Watamuua wao wenyewe...

Actually, ni siku na masaa tu yanahesabika, wataanza kuuana wao kwa wao wakishukiana kuwa;

"...huyu ana siri dhidi yetu, tumtoe ili kupoteza ushahidi.."

Ushirika wa kishetani kwa kawaida ndivyo ulivyo. Huanza kuutenda uovu kwa pamoja wakicheka, lakini huko mbele ya safari hugeukana na kuwa maadui na kuanza kumalizana wenyewe kwa wenyewe huku wengine waki - commit suicide..!!
 
Mafwele anaishi kama digidigi,baada ya MO29 ata Jumanne Mulilo kapoa mnoooo.

No way out Mafwele atakuwa anaishi na stress sana, ukitaka kujua Hilo ndo maana wasiojulikana wanajifunikaga uso Ili raia wasiwajue, Mafwele ata kwenda Bar na kujiachia hawezi, huyu ataishi maisha ya stress hadi kufa .jitu limeteka au kuua
Polepole
Sativa
Soka
Ally Kibao
Kipanya n.k

Familia ya Polepole,Sativa, Kibao huwezi jua wanajisikiaje, hii Dunia ndogo kama Trump pamoja na kuwa na secret service ila alikoswa kiduchu sembuse hiyo taka taka Mafwele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom