Mafwele anaishi kama digidigi,baada ya MO29 ata Jumanne Mulilo kapoa mnoooo.
No way out Mafwele atakuwa anaishi na stress sana, ukitaka kujua Hilo ndo maana wasiojulikana wanajifunikaga uso Ili raia wasiwajue, Mafwele ata kwenda Bar na kujiachia hawezi, huyu ataishi maisha ya stress hadi kufa .jitu limeteka au kuua
Polepole
Sativa
Soka
Ally Kibao
Kipanya n.k
Familia ya Polepole,Sativa, Kibao huwezi jua wanajisikiaje, hii Dunia ndogo kama Trump pamoja na kuwa na secret service ila alikoswa kiduchu sembuse hiyo taka taka Mafwele