Mafwele ni nani hasa? Mkono wa sheria unamwogopa?

Mafwele ni nani hasa? Mkono wa sheria unamwogopa?

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Jina la Mafwele limetajwa na kila mtu aliyetekwa na kufanyiwa ukatili

Kama ni mtumishi wa jeshi la polisi kwanini Rais au IGP hamsimamishi kazi japo kupisha uchunguzi wa tuhuma zake

Hivi askari aliyefunzwa na mzalendo atafanya mambo kama hizi tuhuma za Mafwele
Yaani kuteka, kuuwa, kupoteza

1. Boniface Mwangi
Huyu Raia wa Kenya, ametoa shuhuda kuwa Mafwele na genge lake walimteka kumtesa na kumlawiti hadharani huku wakiwa record na kumwamrisha amshukuru Samuya

2. Agatha
Huyu ni mdada kutoka Uganda, ametoa shuhuda kuwa Mafwele alimteka na kumpeleka mafichoni na kumpiga pia alifanywiwa kitendo cha kumbakwa

3 Sativa
Huyu ni Mtanzania ametoa shuhuda kuwa Mafwele alimteka na na kutoa oda ya kumpiga risasa ya shingo pia kumtupa porini aliwe na wanyama wakali

4. Hilda Newton
Huyu mwanaharakati nae anasema akiwa sello bila kupata sheria, Mafwele alikuja kumtesa na kumfanyia udhalilishaji wa kingono

Swali kwanini Mafwele hajawahi kukamatwa wala kuhojiwa?

markup_1000228419.png
 
Sio Kwamba anaogopwa na Serikali. Huyu ndo enforcer wa mama mtaani. Ndo maana hakuna mahakama au chombo cha sheria kitakachomgusa kwa sasa. Toa protection ya mama, anabaki raia kama raia wengine.
Basi hapo tuamini kila analofanya Mafwele ni Kwa niaba ya serikali.
Yaani askari Gani anabaka na kulawiti watu
Kutesa na kuuwa watu
 
Jina la Mafwele limetajwa na kila mtu aliyetekwa na kufanyiwa ukatili

Kama ni mtumishi wa jeshi la polisi kwanini Rais au IGP hamsimamishi kazi japo kupisha uchunguzi wa tuhuma zake

Hivi askari aliyefunzwa na mzalendo atafanya mambo kama hizi tuhuma za Mafwele
Yaani kuteka, kuuwa, kupoteza

1. Boniface Mwangi
Huyu Raia wa Kenya, ametoa shuhuda kuwa Mafwele na genge lake walimteka kumtesa na kumlawiti hadharani huku wakiwa record na kumwamrisha amshukuru Samuya

2. Agatha
Huyu ni mdada kutoka Uganda, ametoa shuhuda kuwa Mafwele alimteka na kumpeleka mafichoni na kumpiga pia alifanywiwa kitendo cha kumbakwa

3 Sativa
Huyu ni Mtanzania ametoa shuhuda kuwa Mafwele alimteka na na kutoa oda ya kumpiga risasa ya shingo pia kumtupa porini aliwe na wanyama wakali

4. Hilda Newton
Huyu mwanaharakati nae anasema akiwa sello bila kupata sheria, Mafwele alikuja kumtesa na kumfanyia udhalilishaji wa kingono

Swali kwanini Mafwele hajawahi kukamatwa wala kuhojiwa?

View attachment 3538671
Kwa akili yako ndogo unafikiri Mafwere huwa anajiamria tu kwa mawazo yake kwenda kufanya hayo anayofanya?

Huoni Makonda pamoja na yote mabaya yanayosemwa juu yake lakini muda huu yeye ni waziri tena waziri wa habari?

Kila serikali duniani ina watu kama Mafwere wengi tu na wanalipwa mshahara mzuri sana.
 
Back
Top Bottom