Duhhh....☹️Viazi bei gani??
Hapa nnapoish hiyo lita 10 ni 62,000 TZS kutoka 52,000 TZS. Hiyo 75,000 upo mkoa gani mkuu.??
Kwetu jana 19/3, mafuta ya safi lita 10 tsh 62,200Aina gani, na brand gani ndio issue, je ni korie type, Alizeti?, brand gani ya Alizeti?
Uongo huo mtaa hauna Jina?usiku huu kuna moja imeripuka hapa mtaani kwangu na umeme ukakata,yawezekana wahuni walikuwa kazini
Sundrop ndoo ya Lita kumi ni 75000, Lita 1 ni 8000Na mimi ndio nimeshangaa bei hiyo!!
Kivipi??Duhhh....☹️
Naona tunazidi kupoteza nguvu ya taifa....😆
Brand ya alizeti mkuu, yasiyo ya alizeti ni 58,000 TZS mpaka 62,000 TZS kutokana na duka utaloenda mwanzo ilikua 50,000 TZS.Aina gani, na brand gani ndio issue, je ni korie type, Alizeti?, brand gani ya Alizeti?
Inawezekana kutokana na maeneo na brand husika mkuu.Jana nilikuwa mlimani mafuta ya alizeti lita kumi nimeona 98000
Ninakoishi Mimi lita 10 ni tsh 68000/=Viazi bei gani??
Hapa nnapoishi hiyo lita 10 ni 62,000 TZS kutoka 52,000 TZS. Hiyo 75,000 upo mkoa gani mkuu.??
Nadhani ni kutokana na eneo analoishi ama lah brand husika kama mdau kakolaki alivochangia hapo juu.Na mimi ndio nimeshangaa bei hiyo!!
Sasa huku sisi mbona tunanunua lita moja kwa 6000, tena rejareja hiyo kwa mangi!!Sundrop ndoo ya Lita kumi ni 75000, Lita 1 ni 8000
NdiyoKwani viazi navyo vimepanda bei?
Hatuna hata pesa ni vile ukiwa na ten waweza burudika kama upo ParisKitu pekee hata kikipanda bei watu huwa hawalalami ni 🍻🍺🍺 tu.
Yaweza kuwa wanywa beer ni watu wenye pesa sana.