Mafuta mazuri ya wanaume

Mafuta mazuri ya wanaume

Miss Natafuta we mchokozi!Ungesema ni ya kuongeza ugumu ningekuja PM,ila kulainisha huko simo.
 
Mmmh kiruuuuu yelewiiiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
We ni basha nini?wanaume makalio magum umejuaje?
Hahaha baada ya kuwa soft what next!

brain is the beautiful part of the body.
Hapo sasa mkuu ujue hata kunako kwichi kwichi haitakiwi mwanamke kuyazoea kabisa maeneo yetu ya makalio
Bora yawe makavu na magumu tu...niyalainishe ili nini...WHAT THE.....???!!!
mmeona makalio tu jamani? mbona mikono vigoko vyeusi na vikavu hamsemi?
 
wanaume wengi wana makalio yamekaukaa, mikono vikogo vyeusii ukijumlisha na mapombe wanayokula na chips basi vijana wadogo ngozi zimezeeka sijui uzeeni watakuwaje
nimeamua kuuza mafuta ya kuwasaidia
njoo pm uwe na ngozi yenye afya.
bei tsh 20,000 tu unaletewa ulipo
ukinunua kopo mbili unapewa zawadi ya boxer bure!
Sema unatafuta m!boo kwa njia nyingine
 
Mkilogwa mlainishe makalio mmekwisha

Mtaishia kubadili jinsia zenu

Mimi hapana ugumu wa makalio sifa ya mwanaume mashine
 
Sawa unafanya biashara lakn nafikir n bora ungeanza kwa kuelezea ubora na ingredients znazoyafany hayo mafta kuw special kuliko kuelezea baadh ya makilio mbalmbl ambay umeshakutana nayo
Nawsilisha
 
Sawa unafanya biashara lakn nafikir n bora ungeanza kwa kuelezea ubora na ingredients znazoyafany hayo mafta kuw special kuliko kuelezea baadh ya makilio mbalmbl ambay umeshakutana nayo
Nawsilisha
sawa mkuu asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom