Mafuta mazuri ya wanaume

Mafuta mazuri ya wanaume

yaani dada miss natafuta ni heri ungesema tu mafuta kwa ajili ya ngozi za wanaume ila hiyo makalio kuwa nini sijui unaharibu soko lako.

ndio maana maswali mengi yamezuka kuhusu iyo kauli ,vinginevyo muda huu ungekua unapokea oda tu

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
hamtaki ukweli mkuu?
 
Kamuuzie Ben Pol
Mimi baada ya kuachwa kuogeshwa na mama, mafuta hayajagusa huko toka vyama vingi vianzishwe
wanaume wengi wana makalio yamekaukaa, mikono vikogo vyeusii ukijumlisha na mapombe wanayokula na chips basi vijana wadogo ngozi zimezeeka sijui uzeeni watakuwaje
nimeamua kuuza mafuta ya kuwasaidia
njoo pm uwe na ngozi yenye afya.
bei tsh 20,000 tu unaletewa ulipo
ukinunua kopo mbili unapewa zawadi ya boxer bure!
 
wanaume wengi wana makalio yamekaukaa, mikono vikogo vyeusii ukijumlisha na mapombe wanayokula na chips basi vijana wadogo ngozi zimezeeka sijui uzeeni watakuwaje
nimeamua kuuza mafuta ya kuwasaidia
njoo pm uwe na ngozi yenye afya.
bei tsh 20,000 tu unaletewa ulipo
ukinunua kopo mbili unapewa zawadi ya boxer bure!
Mimi sivaagi boxer, zawadi utanipa nini?
 
Halafu ndio huyu aliletaga uzi kutusema kwamba wanaume hatupaki wese makalioni akasema tangia Mama zetu waache kutupaka hatujawahi kupaka tena wenyewe baada ya kukua.na tutako twetu hutu tugumugumu tudogo kama skonzi mafuta ya kazi gani? Ila kwenye mtwangio huwa tunapaka
 
nalala nafunga duka asanteni mlioniungisha .mtaleta mrejesho hapa
 
hamtaki ukweli mkuu?

Daah shukrani kwa kunipunguzia stelesi za leo.
Ila kama kweli unafanya biashara hiyo basi umeshajiaribia.Kazi ya tangazo la biashara sio kutoa mawaidha bali kushawishi mteja kununua bidhaa yako kwa kutumia maneno matamu,ungesema mafuta mazuri ya ngozi ya wanaume,yanasaidia kufanya ngozi kuwa safi na yenye afya,hapo hata mie ungenishawishi,sasa wewe unaleta mambo ya kulainisha matako alaf unamwambia hivyo mwanaume wa kiafrika,tena usije ujajagwa ukamtangazia mtu live kwakutumia maneno hayo.unaweza kula kelbu moja ya kishkaji.

Mafuta,makalio,mwanaume/kiume ni maneno matatu ambayo hayatakiwi kuwa katika sentesi moja.
 
Wauzie wanaume wa dar wa mikoani sisi ni kazi tu hatuna muda kulainisha makalio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom