Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,027
- 52,500
- Thread starter
- #101
mimi mume wangu nitampaka ndioNdio shukurani ya kuolewa hiyo....kijana mwenzako umemuwekea sharti la kupaka mafuta Makalio yake kisa asikuchanie Mashuka anayonunua kwa pesa yake...!!
Duuh....ama kweli...![]()
![]()
hakuna wake siku hizi...ndio maana Zilipendwa inapendwa zaidi ya Seduce me....!!
Sijamsema mtu mimi...![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app

