Mafuta mazuri ya wanaume

Mafuta mazuri ya wanaume

Ndio shukurani ya kuolewa hiyo....kijana mwenzako umemuwekea sharti la kupaka mafuta Makalio yake kisa asikuchanie Mashuka anayonunua kwa pesa yake...!!

Duuh....ama kweli... hakuna wake siku hizi...ndio maana Zilipendwa inapendwa zaidi ya Seduce me....!!

Sijamsema mtu mimi...

Sent using Jamii Forums mobile app
mimi mume wangu nitampaka ndio
 
AMA KWELI AKUTUKANAYE HAKUCHAGULII TUSI

UNATAKA MWANAUME AWE NA MAKALIO NYORORO
 
wanaume wengi wana makalio yamekaukaa, mikono vikogo vyeusii ukijumlisha na mapombe wanayokula na chips basi vijana wadogo ngozi zimezeeka sijui uzeeni watakuwaje
nimeamua kuuza mafuta ya kuwasaidia
njoo pm uwe na ngozi yenye afya.
bei tsh 20,000 tu unaletewa ulipo
ukinunua kopo mbili unapewa zawadi ya boxer bure!
Miss wee sio wakutunanga ivyo daa aya ngoja nije pm uninange vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanaume wengi wana makalio yamekaukaa, mikono vikogo vyeusii ukijumlisha na mapombe wanayokula na chips basi vijana wadogo ngozi zimezeeka sijui uzeeni watakuwaje
nimeamua kuuza mafuta ya kuwasaidia
njoo pm uwe na ngozi yenye afya.
bei tsh 20,000 tu unaletewa ulipo
ukinunua kopo mbili unapewa zawadi ya boxer bure!
Sasa hayo mafuta si yatafanya kalio la Mwanaume liwe soft kama la kike, Tako la kiume linatakiwa liwe tofauti jaman vinyweleo vyeusi viwepo na gumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani dada miss natafuta ni heri ungesema tu mafuta kwa ajili ya ngozi za wanaume ila hiyo makalio kuwa nini sijui unaharibu soko lako.

ndio maana maswali mengi yamezuka kuhusu iyo kauli ,vinginevyo muda huu ungekua unapokea oda tu

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom