farharu
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 527
- 588
Sasa ngozi ya kalio iwe laini ili iweje?hayalainishi makalio ila ngozi ya kalio mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ngozi ya kalio iwe laini ili iweje?hayalainishi makalio ila ngozi ya kalio mkuu
ahhaaaa why mkuu?
acheni hizo bna
sipo unavofikiria mkuu? toeni oda jamani wkend nianze usambazajiYani wewe kama ungekuwa linjemba hapo mtaani kwenu ungafukua vitoto vyote vya kike!
kwani ni siri mkuu.yamekauka hadi yanatoa unga aaah nani asiejua?
Shantiwanaume wengi wana makalio yamekaukaa, mikono vikogo vyeusii ukijumlisha na mapombe wanayokula na chips basi vijana wadogo ngozi zimezeeka sijui uzeeni watakuwaje
nimeamua kuuza mafuta ya kuwasaidia
njoo pm uwe na ngozi yenye afya.
bei tsh 20,000 tu unaletewa ulipo
ukinunua kopo mbili unapewa zawadi ya boxer bure!
duh mimi makalio yangu naogopa hata kuyashika halafu leo naambiwa niyapake mafuta yawe laini, kazi kwelikweliAhahaa huwezi fanya biashara mpaka utoe dongo.
Ivi kuna wanaume wanataka makalio yawe laini laini
Napita
Sent using Jamii Forums mobile app
mafuta ni ya mwili mzima mkuuduh mimi makalio yangu naogopa hata kuyashika halafu leo naambiwa niyapake mafuta yawe laini, kazi kwelikweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha!!Ahahaa huwezi fanya biashara mpaka utoe dongo.
Ivi kuna wanaume wanataka makalio yawe laini laini
Napita
Sent using Jamii Forums mobile app
sipo unavofikiria mkuu? toeni oda jamani wkend nianze usambazaji
at least utuambie mafuta yametengenezewa nini!? au jina la hayo mafutamafuta ni ya mwili mzima mkuu
Samahani Dada yetu wanaume tuna makalio na si kalio nafikiri tavauti ni kubwa sana hapo.hayalainishi makalio ila ngozi ya kalio mkuu
Atakuwa nesi anatuona anapotudunga sindano lakini hazingatii maadili ya kazi anatoa siri za wagonjwa.Hivi umejuaje kwamba makalio ya Wanaume wengi yamekauka?
Hao wanaume wako huwa wanakukubalia uwapapase?
Wewe binti unaniogopesha sana!
hawakubali tatizo hawa ndugu zetu? eti nani asiejua makalio ya wanaume yamekauka kau hadi yanatoa unga?wauzie tu aisee wapunguze kau kau
hata me najuahawakubali tatizo hawa ndugu zetu? eti nani asiejua makalio ya wanaume yamekauka kau hadi yanatoa unga?
unataka kila myu auze .mimisiwezi kuuza product mbovu .si nitakuja kuchambwa humu?Inaelekea unatafuta!!! how could you advertise a product with no brand name? unafikiri unai-market Chato?