Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,809
- 8,964
Yamafuta unayouzaya kalio la mwanaume au ?
invest what you are willing to lose
Yamafuta unayouzaya kalio la mwanaume au ?
Sio utaratibu wangu kupaka mafuta hukokwanini usipake mafuta mkuu?
Wauzie tuu shost ikibidi uwaonyeshe na namna ya kujipakawanaume wengi wana makalio yamekaukaa, mikono vikogo vyeusii ukijumlisha na mapombe wanayokula na chips basi vijana wadogo ngozi zimezeeka sijui uzeeni watakuwaje
nimeamua kuuza mafuta ya kuwasaidia
njoo pm uwe na ngozi yenye afya.
bei tsh 20,000 tu unaletewa ulipo
ukinunua kopo mbili unapewa zawadi ya boxer bure!



hayalainishi makalio mkuu yanafanya ngozi ya kalio iwe nyororo . malakio makabu yanaharibu suruali na mashuka




Miss ungekuja kistarabu ukaandika bila kuweka hivyo vichombezo vya maungoni ungepiga hela ya maana Na ungetengeneza base market ya kudumu!!kwani ni siri mkuu.yamekauka hadi yanatoa unga aaah nani asiejua?