Mafuru Usihalalishe Utapeli wa Masaburi - UDA

edsoysoma

Senior Member
Oct 1, 2015
145
68
Kwa tafsiri fupi tu ya kitaani utapeli, ni mtu mmoja kujipa madaraka juu ya kisicho chake na kujimilikisha au kukiuza. Yani ukisema nimetapeliwa mtu anaelewa kuna mtu kakuzidi kete kwenye kitu chako kwa kukifanya chake au kakuuzia kitu kisicho chake. Changa la Macho!!

Nasikia maumivu ya kichwa kwa mbali. Ina maana mtu akiuza nitu chako eg nyumba bila idhini yako mwenye mali yule aliyenunua atakuwa anamiliki kihalali?
Mafuru hapo amejichanganya sana, anasema mwenye maamuzi ya mwisho uuzwaji wa hisa ni CABINET chini ya RAIS. Na hawakutaarifiwa ILA Masaburi na wenzake watatu wakauza kisa CABINET walikuwa taratibu kuwajibu!! Really?
Hapo wana set very bad precedent.
Hivi kweli urudi ukute nduguyo kauza nyumba yako kisa kila alipokuwa anakutaarifu juu ya uchakavu ukawa huchukui hatua, utachukuliaje hilo swala? Kwamba aliyenunua kapata kiharali au kamtapeli mnunuzi?

Masaburi na hao wenzake watatu ni matapeli kwa kuuza kitu kisichokuwa chao. Na je, kosa la utapeli adhabu yake ni nini?

Msipowachukulia kama matapeli maana yake hata Headmaster wa shule ya serikali kama hajibiwi na wizara ya elimu juu ya kudorora kwa shamba la shule, kwa kushirikiana na kamati ya shule wanaweza kuuza kipande cha ardhi cha shule.
 
Kitakachomnyima Simon Group uhalali WA mali aliyonunua ni kipengere cha DUE DELIGENCY mnunuzi alipaswa kujiridhisha kuwa waliokuwa wanauza UDA walikuwa wenye Mali ? Je walijiridhisha pas ipo mash aka kwamba bodi ya wakurugenzi walikuwa na uwezo WA kuuza UDA bila Kibali cha shareholders.Je walitoa nafasi kwa mwanahisa mwenza ambaye in serikali nafasi ya kununua 51% za hisa kabla ya kuuza nje ya shareholding.Mafuru awe makini kutamka kwamba Simon in mmiliki halali.
 
Kitakachomnyima Simon Group uhalali WA mali aliyonunua ni kipengere cha DUE DELIGENCY mnunuzi alipaswa kujiridhisha kuwa waliokuwa wanauza UDA walikuwa wenye Mali ? Je walijiridhisha pas ipo mash aka kwamba bodi ya wakurugenzi walikuwa na uwezo WA kuuza UDA bila Kibali cha shareholders.Je walitoa nafasi kwa mwanahisa mwenza ambaye in serikali nafasi ya kununua 51% za hisa kabla ya kuuza nje ya shareholding.Mafuru awe makini kutamka kwamba Simon in mmiliki halali.
Kwa kweli hata mimi sikutarajia mtu kama Mafuru kwanza kama msomi, pili mwangalizi mkuu wa hisa za serikali kukili kwamba Simon Group ni wamiliki halali.
Labda waseme kama hilo jipu hata likitumbuliwa litawagusa wengi na ndio wanachokwepa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
nikakuta mali ya wizi inauzwa ikigundulika ni ya wizi baada ya kununua Je nitakuwa na uhalali WA kuimiliki?
 
Kama SIMON GROUP ni mumiliki halali wa UDA serikali imempa basi,hata Rais wetu aache kutumbua majipu kwani serikali haiko serious bali in tumbua majipu kwa manufaa yao.
 
Mafuru kasema et Bodi ndo iliuza hisa za kampuni na mbaya zaidi akasema et Mmliki hakushirikishwa, hivi inakuaje bodi ya shirika iuze hisa bila serikali kushirikishwa aliyesaini hayo makubaliano ni nani? Huu ni ulaghai uliotukuka
 
Kama SIMON GROUP ni mumiliki halali wa UDA serikali imempa basi,hata Rais wetu aache kutumbua majipu kwani serikali haiko serious bali in tumbua majipu kwa manufaa yao.
Nani kakwambi kuwa hii sirikali ipo serious na mafisadi

Never ever....


Katika mpy
richmond

Mikataba ya Gas& Madini
Kiwira
Escrow
Meremeta mmmhh
 
Kitakachomnyima Simon Group uhalali WA mali aliyonunua ni kipengere cha DUE DELIGENCY mnunuzi alipaswa kujiridhisha kuwa waliokuwa wanauza UDA walikuwa wenye Mali ? Je walijiridhisha pas ipo mash aka kwamba bodi ya wakurugenzi walikuwa na uwezo WA kuuza UDA bila Kibali cha shareholders.Je walitoa nafasi kwa mwanahisa mwenza ambaye in serikali nafasi ya kununua 51% za hisa kabla ya kuuza nje ya shareholding.Mafuru awe makini kutamka kwamba Simon in mmiliki halali.
Kisena kaliwa , amtafute idd simba amrudishie hela zake .
 
Mafuru kasema et Bodi ndo iliuza hisa za kampuni na mbaya zaidi akasema et Mmliki hakushirikishwa, hivi inakuaje bodi ya shirika iuze hisa bila serikali kushirikishwa aliyesaini hayo makubaliano ni nani? Huu ni ulaghai uliotukuka
kuna watu mtakuja kuwa very disappointed,shareholder halazimiki kuuza share zake kwa shareholder mwenzake,majamaa yako within law,ndo maana hata kesi ilibidi ifutwe.
Jiji walizouza ni share zao na si zile za serikali
 
kuna watu mtakuja kuwa very disappointed,shareholder halazimiki kuuza share zake kwa shareholder mwenzake,majamaa yako within law,ndo maana hata kesi ilibidi ifutwe.
Jiji walizouza ni share zao na si zile za serikali
Mkuu naoma hapo tumepishana uelewa Mafuru kasema Jiji halikuhusika waliofanya maamuzi ni bodi ya UDA sio jiji......na Mafuru kasema hiyo haikubaliki bodi inabidi wawajibike kwa mjibu wa Mafuru
 
Hivi haya Mandinga ya blue ndo ya Kasi?! Mi nadhani hawa Majamaa wanotuibia kura.bado hawajaAMKA tumechokaaaaaaaaaa na Kutucheze akili.. Hayo magari ya engine nyuma kama Yale ya nida Yana ubora?!... Halafu nauli ni sh. ngapi unaweza Kuta Ile nauli wazirrri kiongizi aliyoikataa ndo imepitishwa ndo tutakaelewa Kale kavulana ka a7b huko white house kalitukana kwa nn
 
mwaka 1992 Sheria ya Mashirika ya Umma ilipotungwa, ilikuwa imebainisha kuwa shirika linatambulika kuwa la umma pale Serikali inapokuwa na asilimia 50 ya hisa. Kwa mantiki hiyo, kwa Serikali kumiliki asilimia 49, UDA ilipoteza sifa za kuwa Shirika la Umma, bali Serikali ilibaki kuwa mbia.
Sheria hii ndiyo iliyowapa fursa aliyekuwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam, aliyeshindwa ubunge Jimbo la Ubungo mwaka jana, Dk. Didas Masaburi, ambaye kwa kushirikiana na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya UDA wakati huo, Iddi Simba, waliiuza UDA kwa Simon Group bila kuishirikisha Serikali.
 
mwaka 1992 Sheria ya Mashirika ya Umma ilipotungwa, ilikuwa imebainisha kuwa shirika linatambulika kuwa la umma pale Serikali inapokuwa na asilimia 50 ya hisa. Kwa mantiki hiyo, kwa Serikali kumiliki asilimia 49, UDA ilipoteza sifa za kuwa Shirika la Umma, bali Serikali ilibaki kuwa mbia.
Sheria hii ndiyo iliyowapa fursa aliyekuwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam, aliyeshindwa ubunge Jimbo la Ubungo mwaka jana, Dk. Didas Masaburi, ambaye kwa kushirikiana na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya UDA wakati huo, Iddi Simba, waliiuza UDA kwa Simon Group bila kuishirikisha Serikali.
 
Kitakachomnyima Simon Group uhalali WA mali aliyonunua ni kipengere cha DUE DELIGENCY mnunuzi alipaswa kujiridhisha kuwa waliokuwa wanauza UDA walikuwa wenye Mali ? Je walijiridhisha pas ipo mash aka kwamba bodi ya wakurugenzi walikuwa na uwezo WA kuuza UDA bila Kibali cha shareholders.Je walitoa nafasi kwa mwanahisa mwenza ambaye in serikali nafasi ya kununua 51% za hisa kabla ya kuuza nje ya shareholding.Mafuru awe makini kutamka kwamba Simon in mmiliki halali.
Nimesikia akitamka hayo nikachoka kabisa!
 
Back
Top Bottom