Field Marshal
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 414
- 280
kwa op magu sidhani maana mkuu cdf alisema ajira atawapa kipaumbele op za nyuma...tatizo hii ronja haijulikani ni lini na mwezi gani uhakika ingawa nimesikia soon....kama kweli vijana wanywe maji mengi maana bagamoyo itakua kama kwenda chooni tu na kurudi.Mkuu hii ni kwa ma SIERRA MIKE NA SIERRA GOLF wa op kikwete,magufuli na remainders of op,muungano. Ni uhakika bogi la rts int.38 msata so vijana wanywe maji mengi maana hali ya hewa pale msata ni kama semi desert vile. Wakianza ruti za kwenda madesa ni shida
Sent using Jamii Forums mobile app