israel daud
Member
- Jun 14, 2017
- 14
- 2
Jamaan napenda nafasi ya jeshi, nipeni njia ya kuifikia njia hiyo!
nkanga chief kapotea sana sijui yuko wap vip vijana wamesharudi?Nkanga yupo wapi
nkanga chief atakuwa kabasti kozi ya jakata kujitolea huko kanembwankanga chief kapotea sana sijui yuko wap vip vijana wamesharudi?
kambi ya kibetonkanga chief atakuwa kabasti kozi ya jakata kujitolea huko kanembwa
Naona Vijana Wana Furaha Kishenzi Yaninkanga chief kapotea sana sijui yuko wap vip vijana wamesharudi?
Vipi tena mkuu wamekatwa nini kwenda kihangaiko???Naona Vijana Wana Furaha Kishenzi Yani
Waiter Zungusha Tena
Si Wametoka Kuapa Juz Juz HapaVipi tena mkuu wamekatwa nini kwenda kihangaiko???
Si Wametoka Kuapa Juz Juz Hapa
Km unatoka posta nyoosha road km unaenda mkocheni kunja kushoto nenda ngome hyo ndo njia ya jeshini tena makaoJamaan napenda nafasi ya jeshi, nipeni njia ya kuifikia njia hiyo!
Jamani mi maneno ya mwizi ndio kwanz leo ktk jmii frm ila mi mwenyew nipo ktk process izo izo niliambiwa mwez wa nane ila kama yupo wa kuniambia tarehe labda ili nizd kujipanga mnijuvye wezangu NIPO ZANZIBAR
Salimia kwanza wakuu wako s/m
Assalam alaykum yas jamiiyaJamani mi maneno ya mwizi ndio kwanz leo ktk jmii frm ila mi mwenyew nipo ktk process izo izo niliambiwa mwez wa nane ila kama yupo wa kuniambia tarehe labda ili nizd kujipanga mnijuvye wezangu NIPO ZANZIBAR
Sent using Jamii Forums mobile app
mike toa ronja vizuri vijana wapate morali.
Tayari mambo yameiva.
Ingieni website ya jkt.
Deadline September 7.
Mie kesho naanza mchakato kwa ofisi ya mkuu wa wilaya pale Ilala
tupatie iyo website mkuuTayari mambo yameiva.
Ingieni website ya jkt.
Deadline September 7.
Mie kesho naanza mchakato kwa ofisi ya mkuu wa wilaya pale Ilala
Mkuu hii ni kwa ma SIERRA MIKE NA SIERRA GOLF wa op kikwete,magufuli na remainders of op,muungano. Ni uhakika bogi la rts int.38 msata so vijana wanywe maji mengi maana hali ya hewa pale msata ni kama semi desert vile. Wakianza ruti za kwenda madesa ni shidamike toa ronja vizuri vijana wapate morali.