mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,533
Hatari
Jeshi huchukua watu sio kwa ajili ya kuwasaidia watu hao, hapana ila kwa ajili ya kuwataji.msaada mm nmehitimu kidato cha sita mwaka Jana cjabahatka kuendelea na chuo na nmepitia jkt kwa mjibu wa sheria napenda sana ningeendelea na jeshi ila cna msaada wowote,nanmeenda NGOME cjasaidiwa chochote
Jeshi huchukua watu sio kwa ajili ya kuwasaidia watu hao, hapana ila kwa ajili ya kuwataji.
Sio kila muda huwa wana recruit watu, so usidhani ukienda tu unapata usahili wa kuingia.
Kila sehemu kuna taratibu na idara za kuchukua watu.
USHAURI: Kama walipenda jeshi usikate tamaa, subiri kipindi kijacho wakiwa wanachukua watu JKT then utafanya utaratibu.
Kuna kitu kinaitwa Official secret ordinance, mambo mnayojadili hapa kwenye uzi mnaona ni madogomadogo na ya kawaida lakini si sawasawa.
Jitafakarini kisha kila mmoja achukue hatua kwa wakati wake
Uyu Ni Mmoja wa Walio ingia Katika Makambi ya JKT mwaka JanaHatari
Uzi gan mkuuhuu uzi ulipigwa biti cjaona tena mtu hapa
Nkanga yupo wapiUyu Ni Mmoja wa Walio ingia Katika Makambi ya JKT mwaka Jana
Uyo atakuwa kapelekwa Kanembwe KigomaNkanga yupo wapi
Wape ronja vijana wapate molari ...lini wataenda JktUyo atakuwa kapelekwa Kanembwe Kigoma
Kwa sasa Mambo Ndio YanapikwaWape ronja vijana wapate molari ...lini wataenda Jkt
Watakuwa Koz Hao Bt Sinauwakika Sana kuhusu HiloHivi na wale wa professional tpdf bado hawajaenda kozi tuh ??maana kuna muda walikua hot ...now sijafatilia sana
kwahyo usail unaanza wakishamalza au kablaKwa sasa Mambo Ndio Yanapikwa
Wale wa Mwaka Jana Mwez wa 12 Mwezi wa 5 wanamaliza
kwahyo usail utafanyka waksha maliza coz au kabla tupen ronja wakuuKwa sasa Mambo Ndio Yanapikwa
Wale wa Mwaka Jana Mwez wa 12 Mwezi wa 5 wanamaliza