JOAQUEM
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 2,020
- 1,667
Shukrani mkuuToka mwezi wa pili mwaka huuu nilituma barua ngomeni
Shukrani mkuuToka mwezi wa pili mwaka huuu nilituma barua ngomeni
Poa poa mkuuuShukrani mkuu
Kukutuma kwenda wapiHivi baba kanituma wapo
Mkuu unaronja kama mtoto wa brigediaWale wa professional wa vyuoni hadi mwezi wa 3 mwakani.
Mtoto wa Mtumishi wa umma tuh mkuu.Mkuu unaronja kama mtoto wa brigedia
Sawa sawa kiongozi kwaio io mwezi wa 3 nicomfirmed?vp idadi itakuaje?Mtoto wa Mtumishi wa umma tuh mkuu.
Yap confirmed mkuu...asilimia nyingi kutopitia jkt kma walioendaa sahivi.kuhusu idadi sijajua bado.Sawa sawa kiongozi kwaio io mwezi wa 3 nicomfirmed?vp idadi itakuaje?
Walioenda saiv wanapita jakata mkuu,kwaio io intake ya March inatetesi ya kutopita jakata?Yap confirmed mkuu...asilimia nyingi kutopitia jkt kma walioendaa sahivi.kuhusu idadi sijajua bado.
Ndio mkuu wa sasa hivi wote jakata.Kwa kujiongeza mwezi wa 3 hakuna operation ya jakata itakayo funguliwa hivyo asilimia kubwa professional wataenda kupiga jwtz Kama wale watumishi wa umma walivyopiga kozi yao.Walioenda saiv wanapita jakata mkuu,kwaio io intake ya March inatetesi ya kutopita jakata?
Hilo sijalisikia nikilipata nitakujuza.Hv kuna mchakato ulifanyika kwenye veta umefikia wapi anae jua
Nimekupata mkuu,samahani lakini hao watumishi wa umma walipiga kozi lini?Ndio mkuu wa sasa hivi wote jakata.Kwa kujiongeza mwezi wa 3 hakuna operation ya jakata itakayo funguliwa hivyo asilimia kubwa professional wataenda kupiga jwtz Kama wale watumishi wa umma walivyopiga kozi yao.
Ni muda kidogo kama sijasahau walienda mwezi wa 6 na kumaliza mwezi wa 10...ni wale waliokua raia jeshini Magu alisema wakapige kozi ya jw...walipigia pale RTS Kihangaiko.Wao hawakupitia jakata kabisa now wapo makambini washapangiwa vikosi.Nimekupata mkuu,samahani lakini hao watumishi wa umma walipiga kozi lini?
Shukrani nimekupata.Ni muda kidogo kama sijasahau walienda mwezi wa 6 na kumaliza mwezi wa 10...ni wale waliokua raia jeshini Magu alisema wakapige kozi ya jw...walipigia pale RTS Kihangaiko.Wao hawakupitia jakata kabisa now wapo makambini washapangiwa vikosi.
Sasa imekuwaje wengine kuwapeleka jkt wengine kutowapeleka mkuuuNdio mkuu wa sasa hivi wote jakata.Kwa kujiongeza mwezi wa 3 hakuna operation ya jakata itakayo funguliwa hivyo asilimia kubwa professional wataenda kupiga jwtz Kama wale watumishi wa umma walivyopiga kozi yao.
Sijafatilia vizuri hao walioenda sasa hivi jkt wao jeshi liliwatangazia nafasi au wao ndio walioomba...pia inategemea na mahitaji ya jeshi kwa wakati husika,jeshi likikutaka ni tofauti na wewe ukilitaka hivyo siwezi jua kwanini wengine waende sahivi jkt alafu wengine wasiende.Ila jeshini muda wowote as where inafanyika so muhimu ni kua mvumilivu.Sasa imekuwaje wengine kuwapeleka jkt wengine kutowapeleka mkuuu