Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,375
Wadau naomba mchango wenu ..
Je muda wanaoutumia kutoa mafunzo ya askari polisi kwa miezi sita pale CCP unatosha?
-Lini utajifunza uraia na human rights
-Lini utajifunza Law
-Lini utajifunza ukakamavu
-lini utajifunza mbinu na medani za kijeshi za kukabiliana na adui na uhalifu?
-Lini unachunguzwa kama ukikabidhiwa silaha hutaleta nayo madhara?
-Kubwa zaidi ni lini utaenda field kupractise kazi yako before employment? au kujiunga CCP ni already employed
Nakumbuka walioenda National Service kwa mujibu wa Sheria ilikuwa mwaka mzima solid sasa hii ya polisi mhhhh
Hebu tuichambue hii kama ina tija!
Je muda wanaoutumia kutoa mafunzo ya askari polisi kwa miezi sita pale CCP unatosha?
-Lini utajifunza uraia na human rights
-Lini utajifunza Law
-Lini utajifunza ukakamavu
-lini utajifunza mbinu na medani za kijeshi za kukabiliana na adui na uhalifu?
-Lini unachunguzwa kama ukikabidhiwa silaha hutaleta nayo madhara?
-Kubwa zaidi ni lini utaenda field kupractise kazi yako before employment? au kujiunga CCP ni already employed
Nakumbuka walioenda National Service kwa mujibu wa Sheria ilikuwa mwaka mzima solid sasa hii ya polisi mhhhh
Hebu tuichambue hii kama ina tija!