Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,526
- 70,385
Nilishajaribu kuiweka charge na hata nikabadili battery lakini hamna matokeo yoyote hasiUshahakikisha kuwa simu haiwaki kabsa? Maana always samsung ikidondoka ikapasuka kioo huwa haidisplay chochote ila waweza prove kwa kuiweka charge na kuona kama itawaka taa ya blue au red pale inapozima mwanga
Okay. Hapo watembelee mafundi ambao wanaweza kuwa na circuit ambayo inawaka ukafanyia test ya display yakoNilishajaribu kuiweka charge na hata nikabadili battery lakini hamna matokeo yoyote hasi
Nawapata wapi hawa mafundi. Maana wengi ni makanjanja unaweza kuishia kutapeliwa tu. Nataka fundi wa uhakika kama unaweza kunipa msaada itapendeza mkuu.Okay. Hapo watembelee mafundi ambao wanaweza kuwa na circuit ambayo inawaka ukafanyia test ya display yako
Z1 au zl?
Okay. Ngoja nikipata anaehitaji nitarudi hapa BossZL au model c 6503
Ungetaja ulipo ungeweza kupata msaada zaidiNawapata wapi hawa mafundi. Maana wengi ni makanjanja unaweza kuishia kutapeliwa tu. Nataka fundi wa uhakika kama unaweza kunipa msaada itapendeza mkuu.
Unapatikana wap?Nawapata wapi hawa mafundi. Maana wengi ni makanjanja unaweza kuishia kutapeliwa tu. Nataka fundi wa uhakika kama unaweza kunipa msaada itapendeza mkuu.
Kama wewe sio mtaalamu peleka kwa fundi akurekebishie feniPC yangu hp elitebook 8470p nikiwasha inatoa maelezo fan doesn't work correctly nifanye nini kutatua tatizo hilo
Kipi bora kati ya kubadili fan au kusafishaKama wewe sio mtaalamu peleka kwa fundi akurekebishie feni
Maana ya marekebisho ni kwamba fundi anaweza kusafisha au kuweka nyingine au pia upo uwezekana shida ikawa n kwenye mashine yenyewe moto haufiki kwenye fanKipi bora kati ya kubadili fan au kusafisha
Na bei ya fan mpya sh. Ngapi
Mkuu W3 imeanguka imepasua kioo. Ni bei gani kioo kipya na ufundi?Kuna w3 kama mbili hivi niliwahi kujaribu kuzifanyia utafiti. kwanini hizo simu zina zima sana. na kwanini zingine zinapo kuwa zinawaka huwa zinaleta chenga.
Chenga kwenye display
1 nilianza na hiyo ya kuwaka inaleta chenga chenga kwenye display kwanza nikatoa memory ya ndani nika kaangali kwenye njia nikakuta kuna njia zimeng'oka.
Na hizo njia ziling'oka baada ya simu kuanguka.
Na nikajaribu kuangalia kwenye prosesa nayo nikakuta kuna baadhi ya njia zimeng'oka.
Na nikaja kugundua makosa wanayo fanya na tecno na itel ni kujifanya ni masuper star na kufanya mizaha kazini kwa sababu makampuni ya simu mengine kama samsung lg huawei prosesa zao pamoja na memory lazima waweke gundi hata simu ikianguka au ikiingia maji isilete madhara ya moja kwa moja.
2 nilikuja w3 ya pili nikatoa prosesa na pamoja memory. na nilipo jaribu kuangalia kwenye njia zake nikakuta hamna hata njia hata moja iliyo ng'oka. na nikaja kundua hiyo simu ina exp date ikutumika baada ya mwaka mmoja lazima izime na ndio maana hiyo simu ukita mpya huwezi kukuta imezima.
Ni sawa unavyosema lakini pia una swali lakujiuliza na kuchukua hatua. Je ni lini na ni vipi utapandisha kiwango chako ili uweze kukabili kazi unazozipatia rufaa?Nimefatilia mtiririko na nimejifunza kitu. Mm ni fundi chipukizi katika kutengeneza kwangu huwa nadili na maiki spika na ringer pamoja na kubadilisha display ila mteja akileta kazi ngumu akishaelezea tu nikaona ipo nje na nguvu zangu namuunganisha na fundi mwingine yaani nampa rufaa
Tatizo mafundi wengi hawataki kushindwa hali ya kuwa haelewi hata pa kuanzia ila kwa sababu anaogopa kuonekana hajui anachukua kazi matokeo yake anaharibu
Utajifumza hardware kuptia kusoma mzee!!!Wakuu me nahitaji kujifunza
Naomba nami niwe mwanafunzi wako mkuuMi nilishashindwa sa hv najikita kwenye software tu
Mkuu mimi nipo tayari kujifunza, kama malipo utayapata tu ila (software)Lazima ulipe hata wewe unakuwa huru