Zugak17
JF-Expert Member
- Aug 9, 2014
- 1,166
- 379
Ambae anahitaj display ya s5 anaweza nicheck au anaeuza circuit yake anaweza nicheck tukafanya biashara 0658190978
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakutumia no.za jamaa yangu yupo Ilala hapo atakuonyesha pa kuzipataWakuu Nitapata Wapi LCD Separator Dar!!
Na Vifaa Vingine Kama Vile!
Hot Air Gun Workstation Na Bei Zake Kama Hamtojali
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama kuna tatizo coz mafundi wote pia huwa ni wauzaji na wanunuzi wa simu
Mi nilisoma hapo Chang'ombe Veta mwaka 2008 kozi fupi nilikomazwa hardware na software hapo hapo sikuwa na idea ya software ila nilijifunzia hapo na nilipata ujasiri mwingi sana japo hardware nilikuwa na idea kidogoKama ambavyo ili uwe fundi mzuri wa hardware mbali na uzoefu inapendeza usome koz fupi ya eletronik
Vipi katika Software inapendeza usome kozi ipi.
Mkuu
Kozi zilikuwepo VETA miaka hiyo ya 2006/06/08 nami nilienda hiyo ya 2008Mda mrefu nimeanza face hizi shida toka nikiwa second year chuo 2012, nikipata tatizo nilikua nikipitia forum tofauti tofauti ili kupata soln, kiukwel hakuna coz yyt ya ufundi wa simu, ila tu ni kua na idea za electronics kwa upande wa hardware na kujua lugha na majina na namna yakutumia software za sim
Hii kazi ndogo badilisha ile waya inayotoka juu kwenye saket inayokuja kwenye antennaNina simu ya Galaxy Note 3 neo (SM-N750L) tatizo lake kubwa ni Weak Network.
Kuna kipindi inashika Network vizuri na kuna kipindi inakuwa haipo kabisa.
naomba ushauri wa kusolve tatizo hili
hazole1
Display wauzaje Mkuu, mimi circuit yangu ina virus, inabidi uiflash, tatizo lake ni kuwa after 3 minutes inajirestart simu na sms inaingia kila baada ya simu kujirestart.Ambae anahitaj display ya s5 anaweza nicheck au anaeuza circuit yake anaweza nicheck tukafanya biashara 0658190978
Sent using Jamii Forums mobile app
Tecno w3 yangu imezima ghafla, ni siku nyingi sana sasa, wamenambia mashine yenyewe imekufa na gharama yake ni 30,000.Nimefurahi sana na Uzi huu mimi nipo kotekote software na Hardware,labda nikuulize kama ulishapata solution ya tecno W3 ambazo nyingi huwa zinatatizo la kuganda na kuleta mistari mistari hivi,Hizi hata uiflash ni kazi bure haikubali,piga blowa uwezavyo haikubali kama kuna mtu ana solution please tujuzane maake ninazo kama kumi hivi nimeziweka nyingine za wateja nyingine nilishaachiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hyo mkuu kwa sasa ivi hii koz haipo tena!?Kozi zilikuwepo VETA miaka hiyo ya 2006/06/08 nami nilienda hiyo ya 2008
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaweza ikawa kweli kama aliyekuambia tayari anayo na hata ukiambiwa zaidi ya hapo pia itakuwa ni ukweli kwa huyo aliyekuambia.Tecno w3 yangu imezima ghafla, ni siku nyingi sana sasa, wamenambia mashine yenyewe imekufa na gharama yake ni 30,000.
Ni kweli Mkuu?
Ina maana Mkuu hiyo saket si ndo imbeba mafile, IMEI n.k?Inaweza ikawa kweli kama aliyekuambia tayari anayo na hata ukiambiwa zaidi ya hapo pia itakuwa ni ukweli kwa huyo aliyekuambia.
Hizo unaweza nunua hadi kwa 50000
Sent using Jamii Forums mobile app