StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 5,618
- 5,880
Wenye ulozi wao sidhani kama wataacha huo ulozi kwa sababu wanaona unawasaidia kudhuru(kuua) bila kuacha alama.acheni ulozi
Asante Yesu kwa ukombozi na ulinzi wako. Ndani yako usalama 100%🙏