MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Kwamba haruhusiwi tena kutoa ujumbe wenye mafumbo?, Nape Nnauye njoo huku utoe ufafanuziUmeshajijibu...
alafu unauliza tena??
Toka aombe na kupewa msamaha sijaona Tena ujumbe wowote kutoka kwa Nape Nnauye hukoTwitter wenye mafumbo kutoka kwa huyu mwanasiasa, tatizo ni nini, au hiyo likuwepo kwenye kitita Cha msamaha?
Wakishamkata kwenye kura za maoni ataendelea na vijembe kama kawaidaToka aombe na kupewa msamaha sijaona Tena ujumbe wowote kutoka kwa Nape Nnauye hukoTwitter wenye mafumbo kutoka kwa huyu mwanasiasa, tatizo ni nini, au hiyo likuwepo kwenye kitita Cha msamaha?
Hebu tupia hapa mkuu ili tuuone huo ujumbeLeo kaweka nyingine, kuwa wangalau mpira ndio unatafanya tuwe pamoja mbali ya itikadi zetu kwa sasa.
I can't wait kuona Nape, makamba, mwigulu wanakatwa kura za maoniWakishamkata kwenye kura za maoni ataendelea na vijembe kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tupia hapa mkuu ili tuuone huo ujumbe
Mkuu Mimi huwa siingii Twitter huwa naona humu humu JFMkuu ingia twitter, utaona kila kitu.
Maana ya kuomba msamaha ni kukiri makosa uliyo yafanya, Nape hakuwa akiandika kutetea wananchi wake, alitupa jiwe kizani likagonga mti na kumrudia, kurudia kuandika mafumbo kwa njia ya kukosoa ni kurudia kosa naye anaishi katika falsafa ya kiswahili "kosa si kosa bali kurudia kosa ndiyo kosa " lakini nikumbushe pia kuwa tupo Kwenye political forgiveness system ili kulinda kitumbua kisitiwe mchanga ukizingatia chujio la anayepitisha majina amelishika kosolewajiToka aombe na kupewa msamaha sijaona Tena ujumbe wowote kutoka kwa Nape Nnauye hukoTwitter wenye mafumbo kutoka kwa huyu mwanasiasa, tatizo ni nini, au hiyo likuwepo kwenye kitita Cha msamaha?
Kumbe Yale mafumbo yalikuwa kwa ajili ya majungu hayakuwa kwa ajili kutetea wananchi wa Jimbo lake, hapo nimekuulewaViongozi wengi wa CCM wanajali maslahi ya matumbo yao tu
Me mwenyewe hadi nimeona uvivu kumjibu maana amejijibu halafu anatuulizaUmeshajijibu...
alafu unauliza tena??
Mkuu pengine ilikuwa ni utoto, Sasa ameacha?Me mwenyewe hadi nimeona uvivu kumjibu maana amejijibu halafu anatuuliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti kitita cha msamaha ha ha ha haaaaToka aombe na kupewa msamaha sijaona Tena ujumbe wowote kutoka kwa Nape Nnauye hukoTwitter wenye mafumbo kutoka kwa huyu mwanasiasa, tatizo ni nini, au hiyo likuwepo kwenye kitita Cha msamaha?
Toka aombe na kupewa msamaha sijaona Tena ujumbe wowote kutoka kwa Nape Nnauye hukoTwitter wenye mafumbo kutoka kwa huyu mwanasiasa, tatizo ni nini, au hiyo likuwepo kwenye kitita Cha msamaha?