Mafumbo ya Nape Nnauye Twitter hayaonekani Tena, sababu Nini?

MKWEPA KODI

JF-Expert Member
Nov 28, 2015
28,707
71,003
Toka aombe na kupewa msamaha sijaona Tena ujumbe wowote kutoka kwa Nape Nnauye hukoTwitter wenye mafumbo kutoka kwa huyu mwanasiasa, tatizo ni nini, au hiyo likuwepo kwenye kitita Cha msamaha?
 
Toka aombe na kupewa msamaha sijaona Tena ujumbe wowote kutoka kwa Nape Nnauye hukoTwitter wenye mafumbo kutoka kwa huyu mwanasiasa, tatizo ni nini, au hiyo likuwepo kwenye kitita Cha msamaha?
Maana ya kuomba msamaha ni kukiri makosa uliyo yafanya, Nape hakuwa akiandika kutetea wananchi wake, alitupa jiwe kizani likagonga mti na kumrudia, kurudia kuandika mafumbo kwa njia ya kukosoa ni kurudia kosa naye anaishi katika falsafa ya kiswahili "kosa si kosa bali kurudia kosa ndiyo kosa " lakini nikumbushe pia kuwa tupo Kwenye political forgiveness system ili kulinda kitumbua kisitiwe mchanga ukizingatia chujio la anayepitisha majina amelishika kosolewaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…