Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ameanza kudhulika na lile gori la mkono
Toka aombe na kupewa msamaha sijaona Tena ujumbe wowote kutoka kwa Nape Nnauye hukoTwitter wenye mafumbo kutoka kwa huyu mwanasiasa, tatizo ni nini, au hiyo likuwepo kwenye kitita Cha msamaha?