Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Toka aombe na kupewa msamaha sijaona Tena ujumbe wowote kutoka kwa Nape Nnauye hukoTwitter wenye mafumbo kutoka kwa huyu mwanasiasa, tatizo ni nini, au hiyo likuwepo kwenye kitita Cha msamaha?
Ameanza kulipa kodi stahiki I guess🤣🤣🤣🤣