Kesaboso
JF-Expert Member
- Apr 16, 2019
- 426
- 358
Viongozi wengi wa CCM wanajali maslahi ya matumbo yao tu
Kwani G Lema nae ni kiongozi wa CCM mbona aliacha utabili wake na zile mbwembwe au nae alipada dau sasa ameturia.π π π π
Viongozi wengi wa CCM wanajali maslahi ya matumbo yao tu
Naona alikfokewa na kukemewa Kama kengeπππππLazima abadilike, mafumbo ya kwenye kanga sio poa kwa mwanaume, akiri imerudi baada ya kudukuliwa.
Hawezi kuwakata, sio kwa sababu anawapenda, bali kuwatiribuwa wapinzani kwa sababu anajuwa wapinzani watafutahia!I can't wait kuona Nape, makamba, mwigulu wanakatwa kura za maoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa magoti
Na akakemewa Sana na kuondoka kwa aibu kubwa sanaKwa magoti
Yale makeke yote kwisha! Mwanaume ukiamua kupigana unatakiwa uwe na msimamo!Na akakemewa Sana na kuondoka kwa aibu kubwa sana
Anajifanya mjanja lakini hakuna kitu paleYale makeke yote kwisha! Mwanaume ukiamua kupigana unatakiwa uwe na msimamo!
Alikuwa anabebwa tu, he cant fight his own battle! Wamekuwa wakitumia c/o za wazèe wao tu.Anajifanya mjanja lakini hakuna kitu pale
Baba yake mzee Nnauye na mzee wa msoga walikuwa wanajeshi kwa hiyo JK alikuwa anambeba tuAlikuwa anabebwa tu, he cant fight his own battle! Wamekuwa wakitumia c/o za wazèe wao tu.
Toka aombe na kupewa msamaha sijaona Tena ujumbe wowote kutoka kwa Nape Nnauye hukoTwitter wenye mafumbo kutoka kwa huyu mwanasiasa, tatizo ni nini, au hiyo likuwepo kwenye kitita Cha msamaha?
Sasa atulie kabisa maana watammalizaBaada ya kudukuliwa kwa "gossips" zake ukijumuisha na jumbe zake za mara kwa mara kwa njia ya" tweeter" zenye kuonyesha kukosa utiifu, ameamua sasa kutulizana tu ili kulinda hatma yake ya kisiasa. "If you can't fight them, join them' hii ndiyo "only option" aliyokuwa amebaki nayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu πππππMaridhiano baba
Toka aombe na kupewa msamaha sijaona Tena ujumbe wowote kutoka kwa Nape Nnauye hukoTwitter wenye mafumbo kutoka kwa huyu mwanasiasa, tatizo ni nini, au hiyo likuwepo kwenye kitita Cha msamaha?
ππππVurugu zozote hutokana na kukosa keki.. Ukishamegewa sehemu yako.... Kelele zote hukoma.
Jr