Jamani tusije tukanogewa kuongea lugha moja wooote humu ndani! nadhani mtoa hoja kasema pia bwana Mpendazoe anachafuliwa kuambiwa 'eti' anatengeneza makundi. Gazeti kama mtanzania ambalo mara nyingi limetumiwa na mmliki wake kuendeleza uma-kundi leo hii limekuwa linapinga tabia hii kirahisirahisi tu? Isije tukaingizwa kwenye mkumbo wa kuunga mkono mambo ambayo wengi wetu tumekuwa tukiyapinga kwa nguvuzetu zote! Hebu fikiri, kwa mfano ikawa ni kweli kuna njama hizo,..... sisi tutakuwa tumecheza mechi upande gani?
vyovyote vile....tusiwadharau wananchi.....tuwaache ndio wawe waamuzi wa mwisho....ideally wananchi watamu-evaluate Mbunge wao kutokana na aliyo ahidi na anayotakiwa kutekeleza akiwa kama mwakilishi wao bungeni + jimboni.....kama wanajimbo ni Kabuntas na wakamchagua tena kabuntas......still the ball uko uwanjani kwao kuamua.......