masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Du!Lisemwalo lipo, kama halipo laja.
Mkuu uliona mbali sana!
Yaani ya mwaka 2011 ndo tunayaona leo!
Kudos
Du!Lisemwalo lipo, kama halipo laja.
Mkuu fuatilia habari za jana magazetini, Mbowe kaingiziwa mabilioni kwenye akaunti zake huko Dubai na Hongkong!Mkuu kwanza samahani unaposema uongozi wa juu wa CHD unamaanisha nani maana sasaivi kunaviongozi wawili ambao kwa sasa sifazao zinashabihana kabisa ni yupi unayemlenga au unawaongelea wote wawili????
Mkuu fuatilia habari za jana magazetini, Mbowe kaingiziwa mabilioni kwenye akaunti zake huko Dubai na Hongkong!
Aliyefanya hivyo ni hao viongozi waliopokelewa majuzi.
Lowasa atosha ila wote tujiunge kwenye Mabadiliko!!
Mkuu fuatilia habari za jana magazetini, Mbowe kaingiziwa mabilioni kwenye akaunti zake huko Dubai na Hongkong!
Aliyefanya hivyo ni hao viongozi waliopokelewa majuxi.
umekalia ----- muwasho tu unakusumbua. Unaona Silaa(Dkt wa Ukweli) ni wa kukaa na fisadi meza Moja?
Hii itakuwa kituko cha karne. Ni sawa na Jeshi la Marekani lilipokwenda Iraq kuwatoa Baathists na Saadam Hussein, halafu wakamkamata Saadam na kuamua kumpa nafasi ya ujenerali kwenye jeshi la Marekani huko Iraq. Huo ni wehu.
Lowassa atakuwa mgombea wa Urais kupitia CHADEMA 2015.
kwa nini asiende cuf?
Never say never..lesson
Hii itakuwa kituko cha karne. Ni sawa na Jeshi la Marekani lilipokwenda Iraq kuwatoa Baathists na Saadam Hussein, halafu wakamkamata Saadam na kuamua kumpa nafasi ya ujenerali kwenye jeshi la Marekani huko Iraq. Huo ni wehu.
Lowassa atakuwa mgombea wa Urais kupitia CHADEMA 2015.