Atueleze ukweli kwanza.Sidhani kama tutamsikiliza kama kwanza hajaweka mambo wazi.
Juzi alitisha nyau,waandishi wakaenda,hola,blah blah tu.
Sijui alipigwa biti ama alibadili mawazo mwishoni.
All in all aweke mambo wazi.There is no any other way around this.