We kwa ubishi wewe! we huoni huo ni muujiza?huo mnazi utakua ulipindwa kipindi ukiwa mdogo...
We kwa ubishi wewe! we huoni huo ni muujiza?
huo mnazi utakua ulipindwa kipindi ukiwa mdogo...
Mkuu, hivi unajua mnazi unavyokua au umesema tu? Mnazi unaanza matawi kisha shina linakua taratibu sana tena tinakua nene sasa sijui unapindaje!