Bashungwa Awasili Wilayani Mafia kwa Ziara ya Kikazi

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,902
944

BASHUNGWA AWASILI WILAYANI MAFIA KWA ZIARA YA KIKAZI.

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (Mb) amewasili wilayani Mafia mkoani Pwani kufanya ziara ya kikazi ambapo amepokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Mafia, Aziza Mangosongo, leo tarehe 22 Machi 2024.

Bashungwa amepokelewa pia na Mbunge wa Mafia ambaye pia ni Naibu Waziri wa Elimu, Omary Kipanga pamoja na viongozi wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi.

Katika ziara hiyo, Waziri Bashungwa atakagua miundombinu ya barabara ikiwa ni pamoja na Barabara ya Kilindoni - Kigamboni, barabara ya Kilindoni - Utende, Kivuko cha Kilindoni pamoja na kufanya mkutano wa hadhara Kirongwe.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-03-22 at 10.39.04.jpeg
    WhatsApp Image 2024-03-22 at 10.39.04.jpeg
    337.9 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-03-22 at 10.39.04(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-03-22 at 10.39.04(1).jpeg
    427.4 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-03-22 at 10.39.05.jpeg
    WhatsApp Image 2024-03-22 at 10.39.05.jpeg
    417 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-03-22 at 10.39.06.jpeg
    WhatsApp Image 2024-03-22 at 10.39.06.jpeg
    444 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-03-22 at 10.39.07.jpeg
    WhatsApp Image 2024-03-22 at 10.39.07.jpeg
    283.6 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-03-22 at 10.39.07(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-03-22 at 10.39.07(1).jpeg
    293.5 KB · Views: 4

Similar Discussions

Back
Top Bottom