Pauline rogat
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 340
- 196
59.Jk aliendeleza sana huduma za Lishe nchini Tanzania ikiwa kati ya nchi sita zilizochukua nafasi ya mbele kwa utekelezaji
60. Alikuwa na ushirikiano mzuri na majirani
61. Alianza process ya kubadili katiba ambayo ingemletea sifa nyingi lakini kaachia katikati
62.Alikuwa na maridhiano na wapinzani
63. Chakuzi za taifa zilikuwa na hadhi na haki kidogo ijapokuwa hakukuwa na Tume huru
64.Ukiukaji wa wazi wa sheria ulikuwa mdogo na haukuletea watu binafsi na familia kilio kama sasa
65. Alitabulika kimataifa kiasi kwamba alipngoza hata kamati fulani za kimataifa!
Haya yatosha kwa leo
60. Alikuwa na ushirikiano mzuri na majirani
61. Alianza process ya kubadili katiba ambayo ingemletea sifa nyingi lakini kaachia katikati
62.Alikuwa na maridhiano na wapinzani
63. Chakuzi za taifa zilikuwa na hadhi na haki kidogo ijapokuwa hakukuwa na Tume huru
64.Ukiukaji wa wazi wa sheria ulikuwa mdogo na haukuletea watu binafsi na familia kilio kama sasa
65. Alitabulika kimataifa kiasi kwamba alipngoza hata kamati fulani za kimataifa!
Haya yatosha kwa leo