Da poa sana umenikumbusha mbali sana wote uliowataja nawajua tena washkaji wa kalibu kabisa poa sana maisha yamėtusambaratishaDuh Fred mzena rip kaka yke richy yupo bado
Huko kulikuwepo na wakina Wille rip
Bob samba nafikiri yupo,wakina muddy kayuni aliendaga uk,hasan kayuni aliendaga uuturuki alirudi bongo ila rip,wakina keny vaso aliendaga denmark,wakina gunmaster wako usa,batonkwiza
Team ya mpira yetu msebenze nkiwa mmoja wa wanzilishi na beki enzi hzo matata hapiti mtu nyuma
Abedy kachanso si abed kijicho
Walikuwepo wakina chamsela na wahuni kibao
Ukija Kino shamba juu Hku unakutana na mabaharia wakina Peter Makumbi Juli Makumbi wazee wa Italy Trans tushapiga sana debe magari yao enzi hzo coaster mpyaaa 0 km zinakuja
Kinondoni mpaka kesho watu wameacha Alama licha hatupo huko
Ukija block 41 unakutana na wakina akachube mkristo rip
Ova
Sasa hivi ADA ESTATE wazungu kama wote wamepanga mule sijui hawaogopi roba za vijana wa kitaaWewe wajanja wote tulikulia huko
Tulikuwa msaada sana kwa watoto wa obay na Ada Estate na watoto wa leaders hku mpk kwa mzee Gama
Sasa cha ajabu sisi tulikuwa tunaelewana vzr na watoto wa kishua obay masaki Ada kuliko watoto wa block41 au regent ila baadhi tu lbda
Ila watoto wa obay Ada walikuwa na discipline huku uswazi walikuja kutafuta ukomavu tu
Ova
Hakuna roba kule Ada Estate ila nashanga kwann mitaa kule mfano galu street etc haipigwi lamiSasa hivi ADA ESTATE wazungu kama wote wamepanga mule sijui hawaogopi roba za vijana wa kitaa
Kabla walikuwa wanakaa Upanga karibu Makaburini ya upande Zanaki Sec, mbele ni barabara ya Maktaba Kuu ya TaifaRay si alikuwa anakaa tabata
Nliskia walikuwa wanagombania dem hko
Ova
Aise Haya mambo yako kila mahaliKabla walikuwa wanakaa Upanga karibu Makaburini ya upande Zanaki Sec, mbele ni barabara ya Maktaba Kuu ya Taifa
Nilipokwenda kwenye mazishi walikuewa wanakaa Kigogo sikosei
Nasikia ni Demu ndio ulikuwa mpango wenyewe.
Knight support ilikuwa jumba la batenga sasa sjui kaingia ubia au nao waliuzaScience, kijitonyama hadi morocco inapendeza, bora hivi vitu vingejengwa ubungo to kimara ili wageni wakija waone.
huyo Ray aliuawa?Ni kweli babu, walikuwa mazulas wapole sana
Sijui kama unamjua Ray Kapalata(RIP), alikuwa US nae, lakini ni ndio hivyo kuwa ubingwa bingwa, ilikuwa wabongo kwa wabongo
Suspect akakimbilia kurudi bongo nasikia.
Utafikia jimbo gani,? Kama utakuwa carlifonia nishtue, kama utakaa kwa muda hapo Niambie nikupe chimbo ambalo unaweza kutana na watized siku za wikiend kula batagot you.thank you for infos.kuna mambo pia ntakuwa nakuuliza nkifika USA
poa poa ntakuchekUtafikia jimbo gani,? Kama utakuwa carlifonia nishtue, kama utakaa kwa muda hapo Niambie nikupe chimbo ambalo unaweza kutana na watized siku za wikiend kula bata
Kama una mtu yoyote us unaweza wasiliana nae aje nguo kadhaa, hata kama haji wapo wabongo kibao lazima kila mwaka watinge bongo kutokea us, Akija unamcheulia pesa yakeHili ndio inakera zaidi , unanunua. shati kwa 25000 ,ukifua Mara moja tu tayari limepoteza nusu ya ubora wake ! Imagine , ndipo hapo unapiga hesabu no bora ununue shati hata Bei ghali lakini lidumu ,Miaka ya nyuma kulikuwa na duka la cadburys pale kariakoo , jamaa alikuwa analeta nguo classic kweli kweli , niliwahi kununua t shirt nikazitumia karibu Miaka minne baada ya kuzichoka, nikamuuzia mtu mbeya naye akaziuza Kama mtumba.
Unafikia mjini Gan?poa poa ntakuchek
Mkuu kwanini iliitwa Kinondoni Moscow. Unaweza jua DA HUSTLAUmesahau Mwananyamala na Makumbusho, Kinondoni Moscow na Upanga...
We jamaa wewe Chanukah nyumba za makuti zimeisha?Inawezekana una hoja ya msingi lakini unakosea namna ya kuiwasilisha.
Mfano kuna maeneo mikoani yako vizuri kuliko DSM. Mfano Tandale na Njiro Arusha au mbagala na Kapripoint Mwanza au Manzese na Forest Moro. Ungesema hivi hoja yako ingekuwa ya msingi.
Ila ukilinganisha mkoa kama mkoa utafeli. Unaweza kuzunguka DSM yote Bunju-Mbagala-Kiluvya usipate nyumba ya nyasi.
Je mikoa mingine hili linawezekana?
Kisu chake kirefu aisee, nguo US ziko juu.Kama una mtu yoyote us unaweza wasiliana nae aje nguo kadhaa, hata kama haji wapo wabongo kibao lazima kila mwaka watinge bongo kutokea us, Akija unamcheulia pesa yake
Kama una mtu yoyote us unaweza wasiliana nae aje nguo kadhaa, hata kama haji wapo wabongo kibao lazima kila mwaka watinge bongo kutokea us, Akija unamcheulia pesa yake
Kwa sasa Nipo bongo, ila kwa mwaka mara moja naenda pale, kuhusu chochote ni pesa yako tu hata ukitaka saa ya dola 500 ni wewe tu.Mfano nikitaka kidonda kikali(SAA) ya mkononi huko USA dola ngapi hivi
Brooklyn NYUnafikia mjini Gan?