Kunduchi

kwenda21

JF-Expert Member
Mar 11, 2014
3,422
3,393
Katika maisha yako usije ukaenda kuishi kunduchi au ukaishi nyumba karibu na wamakonde, kunduchi nazungumzia kwanzia pale mitaa ya mtongani na kuendelea kule mbele kama unaelekea ununio kabla hujafika jeshini,watu kule ni waswahili balaa hasa wamakonde,wanaeza kuwa na sheria ya kutoa watoto sijui,mziki ni siku 3 usiku namchana,hakuna kulala,harafu wakti huohuo, utakuta kuna jirani nae kafungulia mziki mkubwa ingawa nao umemezwa na mziki wa kwenye sherehe,ni maskini sana hawa watu,
 
Katika maisha yako usije ukaenda kuishi kunduchi au ukaishi nyumba karibu na wamakonde, kunduchi nazungumzia kwanzia pale mitaa ya mtongani na kuendelea kule mbele kama unaelekea ununio kabla hujafika jeshini,watu kule ni waswahili balaa hasa wamakonde,wanaeza kuwa na sheria ya kutoa watoto sijui,mziki ni siku 3 usiku namchana,hakuna kulala,harafu wakti huohuo, utakuta kuna jirani nae kafungulia mziki mkubwa ingawa nao umemezwa na mziki wa kwenye sherehe,ni maskini sana hawa watu,
Duh!!!!
Uswahilini ndio maisha.
 
Katika maisha yako usije ukaenda kuishi kunduchi au ukaishi nyumba karibu na wamakonde, kunduchi nazungumzia kwanzia pale mitaa ya mtongani na kuendelea kule mbele kama unaelekea ununio kabla hujafika jeshini,watu kule ni waswahili balaa hasa wamakonde,wanaeza kuwa na sheria ya kutoa watoto sijui,mziki ni siku 3 usiku namchana,hakuna kulala,harafu wakti huohuo, utakuta kuna jirani nae kafungulia mziki mkubwa ingawa nao umemezwa na mziki wa kwenye sherehe,ni maskini sana hawa watu,
Halafu utakuta mmakonde mmoja ana watoto wadogo wadogo kama kumi hivi utafhanj mapacha
 
as long as kila mtu analipa bills zake bila shida sion ajabu acheni watu waishi maisha yao uswahili wao wewe unakuwasha nn
Ujinga na ubinafsi umekujaa,kwa maisha ya ustarabu huezi fungua disco usiku na mchana mfulizo kwa muda wa siku 3,una majirani wana wagonjwa na watoto, wengine wanaenda makazi ,usiku ni muda wa kulala
 
ulitumwa uhamie huko? sina ujinga bali jitshidi sana kujiepusha na visivyo kuhusu
Ndo maana nikasema we mjinga,kuna sehemu nimekwambia mimi nimehamia kule,au unajuaje kuwa labda mimi nilitangulia kabla ya wamakonde?lakini katika hali ya kawaida,chukulia wewe umelala ni usiku mda wa kulala,harafu kuna mtu jirani yako au dirishani kwako,anaamua tu kuamka na kuanza kupiga honi ya gari yake,si kila mtu na maisha yake,au uko na mgonjwa kwenye chumba chako ,harafu wa chumba kingine kafungulia sub la mchina mpaka mwisho,najua huezi nielewa maana ustarabu ni mtu alivyolelewa
 
Wamakonde wako huko tokea kitambo sana nyie ndiyo mmewafata
Wahamisheni tu kwa bei nzuri

Ova
 
Pale jirani na kwa nyerere mikocheni kulikuwa na kijiji cha wamakonde hizo ngoma ilikuwa kawaida yao,

Ova
 
Katika maisha yako usije ukaenda kuishi kunduchi au ukaishi nyumba karibu na wamakonde, kunduchi nazungumzia kwanzia pale mitaa ya mtongani na kuendelea kule mbele kama unaelekea ununio kabla hujafika jeshini,watu kule ni waswahili balaa hasa wamakonde,wanaeza kuwa na sheria ya kutoa watoto sijui,mziki ni siku 3 usiku namchana,hakuna kulala,harafu wakti huohuo, utakuta kuna jirani nae kafungulia mziki mkubwa ingawa nao umemezwa na mziki wa kwenye sherehe,ni maskini sana hawa watu,
Vigodoro vibao kata vp kwako shega

Ova
 
Wamakonde wako huko tokea kitambo sana nyie ndiyo mmewafata
Wahamisheni tu kwa bei nzuri

Ova
Kunduchi ni wa sambaa kama ilivyo buguruni na warangi,hakuna mrangi ambaye hana ndugu buguruni,ukibisha ukimkuta mrangi yoyote mwambie akuonyeshe majina ya simu yake,huezi kosa flani buguruni,na walijaa pale kwa kuwa maharage bei rahisi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom