Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,252
Oohooo basi sawa.Brooklyn NY
Oohooo basi sawa.Brooklyn NY
Sina mtu Us , mkuu , Ila hakuna namna nyingine ya kupata hiiz nguo ?Kama una mtu yoyote us unaweza wasiliana nae aje nguo kadhaa, hata kama haji wapo wabongo kibao lazima kila mwaka watinge bongo kutokea us, Akija unamcheulia pesa yake
Mkuu kimahesabu ni bora kununua hizo ghali , maana zinakaa, niliwahi nunua t shirt Miaka ya nyuma kwa wakati huo ilikuwa eflu sitini, nilikaa nayomkaribu Miaka minne na nikaja muuzia mtu Kama mtumba haikuwahi kupauka Wala kupoteza ubora , Siku hizi tunanunua shati 30000 halafu unafua mara moja linapauka na ubora kwisha, so bora tu ununue hata shati moja laki lakini ukawa na uhakika utalivaa Miaka kadhaa ?Kisu chake kirefu aisee, nguo US ziko juu.
. Hapa Nina jeans 3 haxinitoshi mnashindwa was kuuzia.