Maendeleo yanaheshimu rangi?

Cu
Uko sahih ila kwa nn usingestick hoja za juu hapo.. research za miaka ya 1980s kujia juu haziwangalii wahanga. Zinaangalia mfumo mzima ulivyo (structure), ethnic minorities wanataabika sana mana hata mifumo ya kuwaajir katika kazi nzuri ni shughuli. Ndo mana wemgi wanafanya kazi za kuijaza jela muda wote
 
Dangote, mweusi, kapita hao waarabu wote uliowataja

Usije ukasema sio mtanzania
Hapa ni weupe na weusi
Dangote ni exceptional, kuna wazungu matajiri kawapita. Ni sawa na kusema kuna maskin wengine ambao ni whites bora waafrika. Hao hat zanzibar hapa wanafanya kazi za tour guides. Hii haiwez kuwa sabab inayojitoshelez kutenganisha mfumo unaowapa utajri watu weupe
 
Wewe madam wewe! Mbona unatutisha hivyo?🥺

Ngoja nifuatilie nione wanasemaje kuhusu uhusiano wa melanin na Maendeleo!
 
Kuwa na light skin alafu ukose akili na pesa ni ufara. Siku zote fanya ma deal na mtu mweupe utafanikiwa. Hapa nasemea hata ndugu Yako akiwa na vinasaba vya weupe ni deal kubwa.
 
Kuwa na light skin alafu ukose akili na pesa ni ufara. Siku zote fanya ma deal na mtu mweupe utafanikiwa. Hapa nasemea hata ndugu Yako akiwa na vinasaba vya weupe ni deal kubwa.
Unaweza kuendelea na tafiti yako, kwa kusaidia, anaza kwa kumsoma huyu hapa:

 
Hii Comment iwekewe lamination kabisa kabisa..
 
Shida sio rangi nyeusi wazungu walitawala mababu zetu kwa muda mrefu sana almost 200yrs, walitunyonya kutuua na kuiba rasimali zetu nyingi sana.
Sasa kibaya zaid wakaondoka wakatuachia maadui wawili DINI na ELIMU MBOVU YA KUKARIRI. Tukiwekeza na kuboresha elimu yetu inayoendana na mazingira yetu na kuachana na utumwa wa dini zao Waafrika tutajitambua na kuamka.
 
World ecology muafrika lazima awepo. Dunia ni kijiji sasahiv, so lazima tuabgalie tunajiwekaje wekaje pale. Ubaya ni kuwa tegemezi
 
Kwa tunaofwatilia ishu za dini tunaelezwa kuwa yote yalianzia kwa watoto wa nuhu. Shem Ham and japhet. Ham alimcheka babake akiwa amelewa na hapo ndio alipopewa laana. Na huyu ham ndo uzao wa blacks. So hii laana imetoka mbali
 
Tangu Uhuru upatikane ni miaka mingapi? Hii explanation hai hold water tena kwa kuwa tafiti zimeonesha kwamba zipo sababu nyingi nje ya ukoloni ambazo zimekwamisha maendeleo.
Ukoloni ulichofanya ulichelewesha tu maendeleo na kuleta gap Kati ya Europe na Africa lakini baada ya ukoloni hatuna sababu ya kuchelewa.
 
Kwa tunaofwatilia ishu za dini tunaelezwa kuwa yote yalianzia kwa watoto wa nuhu. Shem Ham and japhet. Ham alimcheka babake akiwa amelewa na hapo ndio alipopewa laana. Na huyu ham ndo uzao wa blacks. So hii laana imetoka mbali
Aliyelaaniwa ni Kanaani ambaye alikuwa ni mmoja wa watoto wa Hamu, hivyo kwa Nuhu Kanaani alikuwa ni mjukuu.
"Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani" Mwanzo 10:6.
 
Aliyelaaniwa ni Kanaani ambaye alikuwa ni mmoja wa watoto wa Hamu, hivyo kwa Nuhu Kanaani alikuwa ni mjukuu.
"Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani" Mwanzo 10:6.
Katika watoto wa Nuhu ni na ni aliyemcheka baba yake alipokuwa amelewa na kukaa uchi??? Ukipata jibu niambie
 
South Korea nayo ilitawaliwa, na ni kama rika moja na Tanganyika, lakini imeshaiacha Tanzania mbali sana kimaendeleo!

Singapore ilipata uhuru mwaka 1965 lakini leo hii iko wapi kimaendeleo?
 
Katika watoto wa Nuhu ni na ni aliyemcheka baba yake alipokuwa amelewa na kukaa uchi??? Ukipata jibu niambie
Hamu
"Nuhu akaanza kuwa mkulima...akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake. Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake..."
Mwanzo 9:19-23.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…