Maendeleo ya vitu yaliyojengwa kwenye madeni

Sijijui

JF-Expert Member
Jan 14, 2018
7,879
8,800
Ukiangalia hoja za wanaccm kuhusu mgombea wao,ukiangalia kile kinachoitwa maendeleo yaliyoletwa na Magu,ukiangalia quality ya Magu vs Lissu au Magu Vs Lowassa 2015 au Slaa vs JK 2010 na matokeo ya uchaguzi yalivyokuwa unapata majibu kabisa kwamba why Tanzania na watanzania ni masikini sana pamoja na kuzungukwa na resources za kila aina.

Yaani Kama mtu na akili zake timamu anashangilia daraja tu tena lililojengwa kwa pesa ya mkopo toka WB au reli inayojengwa kwa pesa ya mkopo wa riba kubwa badala ya kodi zinazolipwa na watanzania baada ya productivity yao kuongezeka unategemea nini hapo?

Ukiona mtu anashangilia reli inayojengwa kwa mkopo wakati yeye hana shughuli yoyote inayomuingizia kipato utashaangaa nini kuona nchi hii na watu wake wakiendelea kuwa masikini kwa muda mrefu?

Nadhani ni muda muafaka watanzania tupate definition sahihi ya maendeleo in our context other wise watu wa aina ya Magu wanaodhani maendeleo ni taa za barabarani na stendi za mabasi wataendelea kutuposha
 
Hujui hata kuandika ungesema baadhi vimejengwa kwa mikopo

Pili mikopo sio shida uwezo wa kulipa upo na return ya faida Ni kubwa

Barabara nyingi nzuri hufungua uchumi hivyo mapato ya Kodi kupngezeka hujui hilo?
Mfano enei lilikuwa halina barabara ukijenga magari yataanza kuitumia na yanatumia mafuta yanayolipiwa Kodi,gari za abiria zitaanza eneo Hilo biashara ya abiria inalipiwa Kodi . biashara nyingi zitafunguliwa zinazolipa Kodi

Kujua faida chukua mkopo uliokopa toa Kodi ulizokusanya kupitia hup mradi wa barabara kupitia components zote zilizopo hiyo barabara ndio utajua faida yake

Chadema uchumi mko zero ndio maana mnaandika ujinga . Chadema mna professor mmoja tu profesa Baregu Tena naye wa siasa

CCM tunao kibao wa kutushauri
 
Hakuna nchi hata moja inayojenga uchumi wake bila kukopa ndio maana hata matajiri wote duniani wanakopa katika hilo mnajigeuza uchizi kipindi ambapo ndege zimenunuliwa kwa cash mlioji kwanini zinunuliwe kwa cash wakati biashara ya ndege duniani kote ukopwa,hivyo hoja ni ya kijinga.
 
Hujui hata kuandika ungesema baadhi vimejengwa kwa mikopo

Pili mikopo sio shida uwezo wa kulipa upo na return ya faida Ni kubwa

Barabara nyingi nzuri hufungua uchumi hivyo mapato ya Kodi kupngezeka hujui hilo?
Mfano enei lilikuwa halina barabara ukijenga magari yataanza kuitumia na yanatumia mafuta yanayolipiwa Kodi,gari za abiria zitaanza eneo Hilo biashara ya abiria inalipiwa Kodi . biashara nyingi zitafunguliwa zinazolipa Kodi

Kujua faida chukua mkopo uliokopa toa Kodi ulizokusanya kupitia hup mradi wa barabara kupitia components zote zilizopo hiyo barabara ndio utajua faida yake

Chadema uchumi mko zero ndio maana mnaandika ujinga . Chadema mna professor mmoja tu profesa Baregu Tena naye wa siasa

CCM tunao kibao wa kutushauri
Mkuu natumia simu kuandika Sasa umejuaje sijui? Nimekosea spellings? Magu ameshakopa 40 T ambayo ni sawa na pesa yote ya makusanyo ya nchi kwa miaka karibia 3,Hilo tu halitoshi kukuonesha kuwa hakuna chochote tunachofanya kwa pesa yetu? Hayo ya barabara zilizojengwa kwa mikopo hufungua uchumi ni theories tu zisizo na maana.The main drive ya uchumi ni productivity ambayo huongezwa na elimu kwa maana ya ujuzi na maarifa
 
Hakuna nchi hata moja inayojenga uchumi wake bila kukopa ndio maana hata matajiri wote duniani wanakopa katika hilo mnajigeuza uchizi kipindi ambapo ndege zimenunuliwa kwa cash mlioji kwanini zinunuliwe kwa cash wakati biashara ya ndege duniani kote ukopwa,hivyo hoja ni ya kijinga.
Hakuna familia Wala nchi iliyojenga sustainable development kwa mikopo tena mikopo ya riba kubwa
 
Mkuu natumia simu kuandika Sasa umejuaje sijui? Nimekosea spellings? Magu ameshakopa 40 T ambayo ni sawa na pesa yote ya makusanyo ya nchi kwa miaka karibia 3,Hilo tu halitoshi kukuonesha kuwa hakuna chochote tunachofanya kwa pesa yetu? Hayo ya barabara zilizojengwa kwa mikopo hufungua uchumi ni theories tu zisizo na maana.The main drive ya uchumi ni productivity ambayo huongezwa na elimu kwa maana ya ujuzi na maarifa
Amekopa T 40 kwa takwimu zipi?
 
Watanzania tunataka maendeleo ya vitu na watu yaende kwa pamoja. Maendeleo ya magufuli ni changamoto kwa Watanzania tulio wengi. Haiwezekani mtu mmoja tu aamue Wafanyakazi wanyimwe stahiki zao eti kisa ananunua ndege!

Mimi kama mfanyakazi tena niliyeko kijijini huku Tanganyika Masagati au Uchindile Wilayani Kilombero, hizo ndege zitanisaidia nini!! Ila ningepandishwa daraja kwa mujibu wa taratibu za kazi, ningeweza kukopa benki na kujenga kajumba ka kunisitiri, au kununua hata kapikipiki ka kunipeleka kazini.
 
Hivi ujinga utawatoka lini?

Unajua long term items zinajengwa kwa mikopo ndio maana unasikia kuna mikopo ya nyumba, kuna hire purchase nk n.

Wewe mfano rent yako ni tshs 1m kwa mwezi , ukitaka kujenga si unaweza kuchukua mkopo na badala ya kulipa kodi ya panga ukawa unalipa deni la nyumba, hivyo ktk miaka 2 ukawa na nyumba lakini unalipa deni.

Sasa wewe hutaki hilo basi endelea kupanga nyumba
 
Hivi ujinga utawatoka lini ,??
Unajua long term items zinajengwa kwa mikopo ndio maana unasikia kuna mikopo ya nyumba, kuna hire purchase nk n.
Wewe mfano rent yako ni tshs 1m kwa mwezi , ukitaka kujenga si unaweza kuchukua mkopo na badala ya kulipa kodi ya panga ukawa unalipa deni la nyumba, hivyo ktk miaka 2 ukawa na nyumba lakini unalipa deni.
Sasa wewe hutaki hilo basi endelea kupanga nyumba
Mkuu nakuelewa sana na hii ndo akili ya magu.ila kwa mfano huo ulioutoa ,watu wenye akili wangekopa ili kuwekeza kwenye production inayoongeza hicho kipato chako Cha 1m badala ya kukopa kuwekeza kwenye dead investment
 
Hakuna familia Wala nchi iliyojenga sustainable development kwa mikopo tena mikopo ya riba kubwa
Wewe inaonekana ni mgeni ktk dunia hii hujui source ya utajiri wa hao wachumba zako ndio maana una idea kama hizo
 
Mkuu nakuelewa sana na hii ndo akili ya magu.ila kwa mfano huo ulioutoa ,watu wenye akili wangekopa ili kuwekeza kwenye production inayoongeza hicho kipato chako Cha 1m badala ya kukopa kuwekeza kwenye dead investment

Naona unarudi kule kule, kwa individual unachosema kinge kuwa kweli lakini kwa nchi yenyewe itafanya kile Mimi na wewe hatuwezi kufanya e.g kujenga barabara, hydro electric dams etc, sasa kwenye hiyo investment ya production ya ni mimi na wewe twende tib etc , una jua economic pressure ndio inatufungua mimi na wewe akili zetu zifikirie nje ya box na Mambo mengine iwe kufungua sole trader au kuwa in partnership, joint venture, public or private company etc.

Hata huko nchi zilizoendelea nidhamu na ugunduzi zinakuja ktk kujitafutia, Lakini angalia Tz vs Kenya etc nidhamu ili haribika kwa kuwa tulikuwa tunatarajia serikali itupatie , ajirsa,matibabu , elimu etc

Na mind u huo umeme ma barabara tunazi hitaji ili kutusaidia katika uzalishaji na usambazaji
 
Tunataka maendeleo ya vitu yaendane na maendeleo ya vitu awamu hii wanajitapa sana na miundombinu utazani miundombinu imeanza kujengwa mwaka 2015 tunanyanyaswa kweli kweli wafanyakazi,wakulima,wahitimu ,mama ntilie,machinga wanalia kisa ndege zinanunuliwa
 
Naona unarudi kule kule, kwa individual unachosema kinge kuwa kweli lakini kwa nchi yenyewe itafanya kile Mimi na wewe hatuwezi kufanya e.g kujenga barabara, hydro electric dams etc, sasa kwenye hiyo investment ya production ya ni mimi na wewe twende tib etc , una jua economic pressure ndio inatufungua mimi na wewe akili zetu zifikirie nje ya box na Mambo mengine iwe kufungua sole trader au kuwa in partnership, joint venture, public or private company etc.
Hata huko nchi zilizoendelea nidhamu na ugunduzi zinakuja ktk kujitafutia, Lakini angalia Tz vs Kenya etc nidhamu ili haribika kwa kuwa tulikuwa tunatarajia serikali itupatie , ajirsa,matibabu , elimu etc
Na mind u huo umeme ma barabara tunazi hitaji ili kutusaidia katika uzalishaji na usambazaji
Mkuu nchi inajengwa kwa Kodi za watu wake na si mikopo.kodi inatoka kwa individuals na siyo kwenye mikopo.Hivyo nchi kujenga uwezo wa watu wake kuzalisha zaidi ndo maendeleo zaidi.kuinvest trions of money kwenye reli huku walimu hujawalipa,huku watoto wetu wakipata elimu mbovu haina tofauti na kukopa ukajenge nyumba
 
Wewe inaonekana ni mgeni ktk dunia hii hujui source ya utajiri wa hao wachumba zako ndio maana una idea kama hizo
Mkuu marekani ilijengwa na itaendelea kuwa juu kwa kuwa elimu ni kiupaumbele Chao Cha kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom