MGILEADI
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,621
- 1,545
Unataka kutuambia magufuli ni weak?, you are no serious. Kagame asingekuwa nanwapinzani nchini kwake maana anayetokeza kichwa anafyekwa on the spot. Rais wetu anaenda vizuri sana . Na ninawambia historia itawasuta nyie watu just give us a time. Kagame mwenyewe anamkubali magufuli kwa asilimia mia na moja
Wengine waliosoma majibu yangu kwa maoni yako wataona nimesema bila kumungunya maneno kuwa JPM ni kiongozi mtekelezaji (results oriented) ambaye anamix Task orientation na people orientation ambayo inacheza kulingana na mahitaji. Hivyo ni strong leader nimesema hayo tayari. Tafsiri zako zingine ni zako.