Maendeleo ya China yaliletwa na Katiba Mpya?

Maendeleo ya China yaliletwa na Katiba Mpya?

Ni kama vile hatuna sheria za kutulinda?! Wale wababaishaji na wapenda kupiga domo ndio wameshobokea..
Kukosa hoja tu..
 
Wewe Ndio usiojielewa na kuelewa concept ya check and balances na uwepo wa registrar wa NGO , Makanisa, vyama vya ushirika na majukumu Yao kwa society , Ndio Maana hivi karibuni ukiona ya kanisa moja kufuatilia na TRA na ku kukuta hela za sadaka zinafanyiwa biashara
hapa hatuzungumzii taassisi zinazoendeshwa na serikali wala NGO tunazungumzia kanisa kama kanisa,kanisa lina fungamana vipi na serikali mpaka likaguliwe hesabu zake? nijibu hapa
 
hapa hatuzungumzii taassisi zinazoendeshwa na serikali wala NGO tunazungumzia kanisa kama kanisa,kanisa lina fungamana vipi na serikali mpaka likaguliwe hesabu zake? nijibu hapa
Kanisa ni Mali ya umma yaani waumini Kama ulivyo taasisi zingine Kama by ana vya ushirika nk , hivyo lazima uwezo utaratibu wa kuwaaminisha waumini kwamba michango yao inatumika Kwa manufaa ya kanisa Na si mtu binafsi au kikundi Cha waumini Kwa upendeleo
 
Sasa watanzania mnafanana na wachina ,China huwezi kuifananisha na tz,unafikiri China wanaweza kumvumilia kiongozi mwenye cheti feki aongoze watu,katiba ya China imesimama na inamshitaki yoyote haibagui kama yetu,katiba yetu inalea majizi
 
Kumekuwepo na kelele kiasi toka kwa baadhi ya Watu ambao wanataka kufunganisha maendeleo ya Nchi yetu na Katiba Mpya au kwa kifupi maendeleo yanaendana na Katiba wanazofikiria wao zitawapa ''fursa''

Kwa mfano ndani ya KKKT tumeshihudia migogoro kadha sasa sijui wao Hiyo katiba mpya wataianzisha lini?

Na kuna viongozi wa Kiroho ambao utajiri wao unatokana na kuwadhulumu waumini wao kwa njia moja au nyingine ndio Maana hutakuta vitabu vyao vya mahesabu kuwa wazi zaidi ya kuwa somea waumini wao taarifa wanazo taka wao.

Ukija kwenye vyama vya siasa hadithi ni Hiyo Hiyo wakati wao wenyewe demokrasia wanayo ipigia kelele hawaienzi.

Ukija kwenye Suala la Maendeleo mfano china na mabadiliko Yao ya kiuchumi tunaona wame weza kufanya hivyo bila vyama vingi Bali kwa kuimarisha mifumo Yao ya kiutendaji wakati urusi walikwenda na Glasnot matokeo yake sote tunayajua Gorbachev akakosa nchi na Yeltsin na ulevi wake Ndio aka tawala nchi , matokeo yake nchi ilipojitambua wakamleta Putin ambaye Yupo madarakani kwa miongo miwili sasa.

Ukija hizo nchi za ulaya iwe Germany ya Hitler na wengineo tuangalie walivyo piga hatua za maendeleo ilikuwa kwa sababu ya katiba mpya au demokrasia au lilikuwa ni suala la uzalishaji na usimamiaji wa itikadi inayolenga ktk maendeleo.

Mimi nionavyo tupate maendeleo kwanza Ndio tutaweza kuweka hizo rangi zingine kulemba maendeleo yetu na sio kulemba kitu ambacho hatuna.
Tatizo unataja tu nchi ambazo hata hujui ziko wapi Kimaendelo. CHINA ya Mao isingekaaa iendeleee hata kidogo kama Deng asingeleta mabadiliko.
 
Unadhani kila dikteta anaweza kuleta maendeleo? Maendeleo ya China yanaletwa na vitu vingi ikiwemo ujuzi wa wananchi na kujituma katika kazi kwa watu. Serikali ilichukua jitihada za makusudi kuwekeza kwa watu kwa kuwapa elimu bora, kuweka mazingira bora ya uzalishaji,urahisi wa kupata mitaji kupitia benki, n.k. hayo ndiyo. Yaliyoleta maendeleo China. Hapa kwetu hata vipaumbele vya taifa havijulikani. Tunahitaji katiba mpya ili wananchi wawe na uwezo wa kuwajibisha viongozi wanapishindwa kutelekeza matakwa ya wananchi. Kwa sasa kile anachoamua Rais ndicho kinatekelezwa na kuweka pembeni mipango yote iliyokuwepo. Tulikuwa na " Big Results Now" badala ya kuboresha, imepigwa chini kabisa. Tulikuwa na "kilimo kwanza" nayo imekufa kifo cha mende. Sasa hivi haijulikani hata ni falsafa ipi inayotuongoza. Ni mambo ya " amri" tu. Katiba mpya ndiyo suluhisho.Wenzio Wachina walishaamua karibia miongo mitatu iliyopita kuhusu taifa lao liendeshweje kiuchumi. Kiongozi anayekuja anajua cha kufanya bila hata kuangalia katiba.


Mao hakujenga aorport kwao
 
Katiba mpya... tena sheria ya kumhoj kiongoz anapofanya fyoko madarakan..
sio kuharibu nchi alaf anakaa km mfalme
 
Kama kitu chenyewe hukijui, kwa nini kutaka kukijadili?? yaani unatumia mfano wa china ili tukubali Tanzania iwe nchi ya kidikiteta? Ni mawazo ya kipumbavu.
 
Kumekuwepo na kelele kiasi toka kwa baadhi ya Watu ambao wanataka kufunganisha maendeleo ya Nchi yetu na Katiba Mpya au kwa kifupi maendeleo yanaendana na Katiba wanazofikiria wao zitawapa ''fursa''

Kwa mfano ndani ya KKKT tumeshihudia migogoro kadha sasa sijui wao Hiyo katiba mpya wataianzisha lini?

Na kuna viongozi wa Kiroho ambao utajiri wao unatokana na kuwadhulumu waumini wao kwa njia moja au nyingine ndio Maana hutakuta vitabu vyao vya mahesabu kuwa wazi zaidi ya kuwa somea waumini wao taarifa wanazo taka wao.

Ukija kwenye vyama vya siasa hadithi ni Hiyo Hiyo wakati wao wenyewe demokrasia wanayo ipigia kelele hawaienzi.

Ukija kwenye Suala la Maendeleo mfano china na mabadiliko Yao ya kiuchumi tunaona wame weza kufanya hivyo bila vyama vingi Bali kwa kuimarisha mifumo Yao ya kiutendaji wakati urusi walikwenda na Glasnot matokeo yake sote tunayajua Gorbachev akakosa nchi na Yeltsin na ulevi wake Ndio aka tawala nchi , matokeo yake nchi ilipojitambua wakamleta Putin ambaye Yupo madarakani kwa miongo miwili sasa.

Ukija hizo nchi za ulaya iwe Germany ya Hitler na wengineo tuangalie walivyo piga hatua za maendeleo ilikuwa kwa sababu ya katiba mpya au demokrasia au lilikuwa ni suala la uzalishaji na usimamiaji wa itikadi inayolenga ktk maendeleo.

Mimi nionavyo tupate maendeleo kwanza Ndio tutaweza kuweka hizo rangi zingine kulemba maendeleo yetu na sio kulemba kitu ambacho hatuna.
Nikuulize Suala moja Mkuu , Katika hizo nchi ulizozitaja kuna nchi ambayo alishawahi kuishi au Angala kufika?
Kuna vitu viwili ambavyo unatakiwa uvitofautishe
Nchi kuwa Tajiri na Maendeleo
Urusi ni Katika Nchi Tajiri duniani hata kushinda Ujerumani, Lakini maendeleo ni kitu chengine na Utajiri wake ni kitu kingine. Sisemi kwa kuhadithiwa, mimi mwenyewe nieshi urusi naijua vilivyo. Mpaka hii Leo kuna sehemu ambazo warusi wanakwenda chooni kwenye choo cha shimo. Maendele sio kuwa na Neuclear weapon. Kama maendeleo ni kuwa na jeshi lenye nguvu naweza kukubaliana na wewe.
Nchi ya Pili ni China, Inawezekana Serikali ya China ina mapesa mengi tu, lakini idadi kubwa ya Raia wake ni masikini wa kutupwa. Uliza wanaojua watakuambia.
Sasa tuje Ujerumani. Katika kitu ambacho kimeifanya Ujerumani iendele kama ilivyo sasa ni katiba yao, mfumo wao . Sibahatishi naeleza kwa kujua. Naishi ujerumani kwa Miaka 17 naielewa.
Ukitaka kufananisha usifananishe Chura na Tembo.
Sisi Tanzania taambiwa tujikaze kwa Maendele miaka 20 ijayo hatuwezi kuyafikia maendeleo waliyokuwa nayo wajerumani 1900- Rabda kwa simu za mikononi, lakini hilo sio kipimo cha maendeleo
 
Tatizo unataja tu nchi ambazo hata hujui ziko wapi Kimaendelo. CHINA ya Mao isingekaaa iendeleee hata kidogo kama Deng asingeleta mabadiliko.
Ukiwa ni muelewa utaona huko nyuma niliandika mabadiliko ya china vs ya Russia ya Gorbachev Na Glasnot Na Kama , ni fuatiliaji wa mambo unajua nchi hizo kisiasa Na kiuchumi zipo wapi Na changamoto zake iwe kisiasa au kiuchumi.
Sasa ni juu yako Na uelewa wako kufuata hayo mabadiliko ya china au wa Russia
 
Nikuulize Suala moja Mkuu , Katika hizo nchi ulizozitaja kuna nchi ambayo alishawahi kuishi au Angala kufika?
Kuna vitu viwili ambavyo unatakiwa uvitofautishe
Nchi kuwa Tajiri na Maendeleo
Urusi ni Katika Nchi Tajiri duniani hata kushinda Ujerumani, Lakini maendeleo ni kitu chengine na Utajiri wake ni kitu kingine. Sisemi kwa kuhadithiwa, mimi mwenyewe nieshi urusi naijua vilivyo. Mpaka hii Leo kuna sehemu ambazo warusi wanakwenda chooni kwenye choo cha shimo. Maendele sio kuwa na Neuclear weapon. Kama maendeleo ni kuwa na jeshi lenye nguvu naweza kukubaliana na wewe.
Nchi ya Pili ni China, Inawezekana Serikali ya China ina mapesa mengi tu, lakini idadi kubwa ya Raia wake ni masikini wa kutupwa. Uliza wanaojua watakuambia.
Sasa tuje Ujerumani. Katika kitu ambacho kimeifanya Ujerumani iendele kama ilivyo sasa ni katiba yao, mfumo wao . Sibahatishi naeleza kwa kujua. Naishi ujerumani kwa Miaka 17 naielewa.
Ukitaka kufananisha usifananishe Chura na Tembo.
Sisi Tanzania taambiwa tujikaze kwa Maendele miaka 20 ijayo hatuwezi kuyafikia maendeleo waliyokuwa nayo wajerumani 1900- Rabda kwa simu za mikononi, lakini hilo sio kipimo cha maendeleo
Swali simple kwako ni kwamba maendeleo yanaletwa kupitia uzalishaji au demokrasia ???
Na hata ukitaka kutumia mfano wa China au Russia au ujerumani , hawakufika hapo Kwa sababu ya demokrasia. Ukianzia ujerumani , kulikuwa Na changamoto Za maisha zilizowafanya watu wake wagundue vitu vilivyo wawezesha kwenda Mbele Na juhudi hizo zikaunganishwa na sera Za serekali zao Na kwenda hatua ya kuvamia nchi zingine Na kwenda hatua ya kutawala nchi zingine.
Ukija Kwa china kabla ya mapinduzi ilikuwa ni ya kifalme au tuseme wenye nguvu ya kiuchumi ndio wenye kutawala , Na sio mambo ya demokrasia na urusi hivyo hivyo lakini Na wao kutokana Na changamoto zao walikuwa Na ugunduzi wao wa vitu vinavyo rahisisha au kukuza Juhudi zao Za kimaendeleo na uzalishaji. Na hata ukiangalia South Africa , hatua walizofikia si kutoka Na demokrasia Bali uzalishaji,
 
Kumekuwepo na kelele kiasi toka kwa baadhi ya Watu ambao wanataka kufunganisha maendeleo ya Nchi yetu na Katiba Mpya au kwa kifupi maendeleo yanaendana na Katiba wanazofikiria wao zitawapa ''fursa''

Kwa mfano ndani ya KKKT tumeshihudia migogoro kadha sasa sijui wao Hiyo katiba mpya wataianzisha lini?

Na kuna viongozi wa Kiroho ambao utajiri wao unatokana na kuwadhulumu waumini wao kwa njia moja au nyingine ndio Maana hutakuta vitabu vyao vya mahesabu kuwa wazi zaidi ya kuwa somea waumini wao taarifa wanazo taka wao.

Ukija kwenye vyama vya siasa hadithi ni Hiyo Hiyo wakati wao wenyewe demokrasia wanayo ipigia kelele hawaienzi.

Ukija kwenye Suala la Maendeleo mfano china na mabadiliko Yao ya kiuchumi tunaona wame weza kufanya hivyo bila vyama vingi Bali kwa kuimarisha mifumo Yao ya kiutendaji wakati urusi walikwenda na Glasnot matokeo yake sote tunayajua Gorbachev akakosa nchi na Yeltsin na ulevi wake Ndio aka tawala nchi , matokeo yake nchi ilipojitambua wakamleta Putin ambaye Yupo madarakani kwa miongo miwili sasa.

Ukija hizo nchi za ulaya iwe Germany ya Hitler na wengineo tuangalie walivyo piga hatua za maendeleo ilikuwa kwa sababu ya katiba mpya au demokrasia au lilikuwa ni suala la uzalishaji na usimamiaji wa itikadi inayolenga ktk maendeleo.

Mimi nionavyo tupate maendeleo kwanza Ndio tutaweza kuweka hizo rangi zingine kulemba maendeleo yetu na sio kulemba kitu ambacho hatuna.

Ndugu August, kama hukukusudia kupotosha kwa bandiko lako hili basi uelewa wako kwenye haya mambo bado ni mdogo.

Naona umetaja tu bila urari wala mantiki USSR ya Gorbachev na Ujerumani ya Hitler kama mifano yako 'bila katiba mpya", tena kwako hata dikteta fisadi Putin pia ni role model wa maendeleo.

Nigependa tuwe na mjadala mpana na sio propaganda, lakini kabla sijaenda mbele, je unajua Maendeleo ya Korea Kusini, Malaysia, Singapore, Ghana na Kenya yalipatikanaje?

Nchi kama Ujerumani na USSR (ulizotaja) na China uliyoitaja kwenye heading ni nchi/tawala/dola za zamani ni sawa sawa na tungesema Ufaransa, Japan na Canada au hata India, hao sio saizi yetu pia sio "rika" letu. Lakini hizo nchi nilizotaja hapo juu ni "rika" moja na sisi hivyo kama ni kujipima hao watatupa matokea halisi na yenye kushabihiana na sisi kama Taifa.
 
Duu Bro we ni mchambuzi mzuri sana!! Taifa linahitaji wachambuzi kama wewe
 
Mleta thread sidhani kama unajua maana ya katiba na umuhimu wake. au kutokuwa na katiba. uwe unasoma majarida muhimu achana na uwazi na ijumaa.
 
Haya ni maoni yako binafasi lakini kuna watu wengi hawataki kuburuzwa na wanataka nchi iongozwe kidemokrasia.
 
Swali simple kwako ni kwamba maendeleo yanaletwa kupitia uzalishaji au demokrasia ???
Na hata ukitaka kutumia mfano wa China au Russia au ujerumani , hawakufika hapo Kwa sababu ya demokrasia. Ukianzia ujerumani , kulikuwa Na changamoto Za maisha zilizowafanya watu wake wagundue vitu vilivyo wawezesha kwenda Mbele Na juhudi hizo zikaunganishwa na sera Za serekali zao Na kwenda hatua ya kuvamia nchi zingine Na kwenda hatua ya kutawala nchi zingine.
Ukija Kwa china kabla ya mapinduzi ilikuwa ni ya kifalme au tuseme wenye nguvu ya kiuchumi ndio wenye kutawala , Na sio mambo ya demokrasia na urusi hivyo hivyo lakini Na wao kutokana Na changamoto zao walikuwa Na ugunduzi wao wa vitu vinavyo rahisisha au kukuza Juhudi zao Za kimaendeleo na uzalishaji. Na hata ukiangalia South Africa , hatua walizofikia si kutoka Na demokrasia Bali uzalishaji,
Tatizo Lenu munapotajiwa Ujerumani, munaunganisha moja kwa moja Hitler. Hamujui kuwa Enzi za Hitler wajerumani wengi walikuwa wahanga kama walivyo wahanga Watanzania wengi kwenye utawala huu wa awamu ya tano.
Baada ya Vita vya Dunia Wjerumani walipoteza Kila kitu walichokua nacho na Wakaanza tena upya. Kama unakumbuka Ujerumani iligawanya na West Germany iliokuwa na Demokrasia na East Germany ya Kina Mkuruzia. Sasa hapo ndio ungelipima ipi iliendelea?
 
Wachina wanajitambua. Wana kopi na kupesti vitu vyenye manufaa tu, na kwa jinsi waonavyo wao. Sisi hapa tunashikiwa akili zetu na wageni
 
katiba ya china inasema ataefanya ufisadi adhabu yake ni kunyongwa mpk kufa ....sasa mpk hpo huoni katiba yao imewasaidia kupiga hatua kwa kukomesha ufisadi na rushwa? Tanzania still tunacheka na wezi wetu na wengine tumewapa vyeo bungeni
 
Back
Top Bottom