Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,012
- 144,371
katika sakata hili sijui nani mkweli!
Kama kuna walimu wanaopigwa kama anavyodai mwanafunzi huyu basi hapa panahitajika uchunguzi wa ziada.Sasa tumesikia na tumeona pande zote, hao walimu pamoja na adhabu walizopata bado wasakwe na kufikishwa mahamani wote ili sheria ifuate mkondo wake
Acha ujinga wako wewMwanafunzi pamoja na kuguswaguswa kidogo anapaswa kufukuzwa shule kwa utovu wa nidhamu kwa mujibu wa sheria.
Kwa maelezo ya huyu mwanafunzi, najiuliza ile hasira yote ya wale walimu ilitokana na nini sasa?Aiiiseee ngoja nianze kuwasaka sasa
Huyu tayari ni star, hapo akijiongeza kidogo tu, atalamba mademu wakali tu.
Clouds wakimpa caverage tu ka yule aliyeruka ukuta taifa au yule aliyechora zombie, basi ajiandae kung'oa mademu.
Muulize kwanza lulu hilo swali.ina maana hata SCORPION akifanikiwa kutoka jela atawalamba mana kishakuwa star.
Huyu dogo anaonekana ni mkorofi.Niimani yangu, kama ambavyo video ya kumpiga huyu kijana ilivyotumika kuwatia hatiani wale walimu, kumsimamisha kazi na kumshusha cheo aliyekuwa mwalimu mkuu wa shule ya mbeya day, vivyo hivyo, video hii ikitumika kama sehemu ya ushahidi mahakamani, nawaona wale walimu wakirudi chuoni, mwalimu mkuu akirudi kazini.
Dogo amejichanganya kwelikweli katika maelezo yake.
Wanasheria wa mbeya, fursa ya kuwatetea watuhumiwa hiyo ishaiva.