Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
hapo kunaweza kukawa na ukweli,
kwani hamkusikia kuwa aliondoka na kwenda Dubai kama wiki 2 zilizopita akiwa na escort ya polisi?
je alikuwa anakwedna kufanya nini? kama sio kumleta huyo msela ili wamalizane?
Hii ni hadithi yako ya kubuni. umesomeka.