Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,884
- 6,885
Kuna thread zinazoawekwa ili wengi wachangie na pengine wana uelewa zaidi wa kukweza kuibua mengi lakini unaona zinafyekwa kabisa. TUKiO LA MMILIKI WA DOWANS KUKATAA KUPIGWA PICHA NI PENGINE KUTOTAKA SIRI FULANI KUFICHUKA. Wachunguzi wa mambo wamegundua kuwa ni mzanzibar mkimbizi. Lakini baada ya kuanzishwa thread hiyo imetolewa na kufichwa mahala tulani sijui mantiki yake.