100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 3,718
- 12,437
- Thread starter
- #21
Cha ajabu ni kwamba kuna watu fulani walianza kumfuatilia Amjad ambae ni huyo muuaji, wakamfuatilia hadi wakagundua alikuwa anatumia mtandao wa kijamii, wakamuuliza kile amefanya anajisikiaje, jamaa akasema anajivunia na hajutii alichofanya. Baadae akapotea kabisa kwenye social media baada ya kugundua amefahamika, na akatoa vitisho. Baada ya clip kuvuja akakamatwa.Hivi hawa washkaji wana familia kweli huko nyumbani yaani watoto au mke aseee !! Watu huwa wanasema kufanya kazi mochwari ni kipengele ila hii kazi ni ya moto asee naona bora hata anayenyonga wafungwa ana nafuu ! Hii kazi hata ukiiacha lazima upate Post Traumatic Disorder.
Hiki kitengo hata kwetu hapa kipo kweli ?
Kuna watu ni katili aisee.