Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,629
- 11,656
Hawa hawajui kwamba ukiona vinapendeza ujue vinahitaji huduma. Kama wewe bahili tulia na usiwatafute mabinti, achia wenzio wahudumie.
Madam, tell him.
Hawa hawajui kwamba ukiona vinapendeza ujue vinahitaji huduma. Kama wewe bahili tulia na usiwatafute mabinti, achia wenzio wahudumie.
kawaida sana, kama kawaida watoto wa bongo njaa kali balaaa.Baby naomba unicredit vocha ya elfu 5,na ukija hostel usisahau kuja na chips kuku mzima coz nipo na friends zangu,afu nadaiwa elfu 35 nilikopa mpenzi wangu na plz sweet naomba uniongezee elf 30 ya vtabu na elfu 25 ya saluni c unajua weekend! I luv u mwahhhhhhh." Je? Demu wa aina hii ni mwizi au jambazi?
hawa tunaochukua ndo wa level yetu,tatizo mkikutana huko salon mnawaharibu na story za kuigiza!!!!na wenyewe wanabadilika, alikuwa anakuita mpenzi anaanza kukuita dear na mizinga kibao!!!!hahaha, mchukue wanawake.wa level yenu jamani. Hapo hujaombwa hela ya internet package, 30,000 tu kwa mwezi. Lol
hahaha, mchukue wanawake.wa level yenu jamani. Hapo hujaombwa hela ya internet package, 30,000 tu kwa mwezi. Lol
nkuki kwa nguruwe eeh? mla vya wenzie huliwa, ujue na huyo dada nae anatumiwa na mtu anakuhonga, zako shurti zihongwe pia babakibaya zaidi unamtumia vocha ya elf tano halafu anakubip, sijui anampigia nani kwa hela ile. Nadhani huyo atakua anakuchuna tu. Mimi nlikua na demu wangu alikua ananitilia yeye vocha na nikimpigia anakata ananipigia yeye. Aisee ilikua raha mno