Mtukutu Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 908
- 1,128
Habari za asubuhi wandungu natumaini mumeamka salama salmini
Leo asubuhi wakati nawasha laptop yangu kwanza baada ya Kutumia kama dk 5 ikaleta mistari na chenga kwenye skrini
Badala ya hapo ikazima Kabisa Kila nikiwasha inawaka taa ya betri na kuzima
Ukiwasha feni inaanza kurun zeni inazima mpaka muda huu sijajua shida ni nini maana Jana nimetumia vizuri na haijawahi kuleta changamoto kama hii
Model ni dell E5430 latitude
Msaada sana Hapa
Chief Mkwawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo asubuhi wakati nawasha laptop yangu kwanza baada ya Kutumia kama dk 5 ikaleta mistari na chenga kwenye skrini
Badala ya hapo ikazima Kabisa Kila nikiwasha inawaka taa ya betri na kuzima
Ukiwasha feni inaanza kurun zeni inazima mpaka muda huu sijajua shida ni nini maana Jana nimetumia vizuri na haijawahi kuleta changamoto kama hii
Model ni dell E5430 latitude
Msaada sana Hapa
Chief Mkwawa
Sent using Jamii Forums mobile app